Bado namfeel

Bado namfeel

mkuu isije ikawa ulikuwa unaji-express kwa uwazi sana enzi hizo, but siku hizi heshima na formalities zimezidi mno ndani ya ndoa.... loosen up a little bit bro!
 
Mbongotz,dini yako inakuruhusu kuoa mke wa pili?

Hapana mkuu dini hairuhusu,na wala sina mpango wa kusaliti ndoa,kinachonitatiza tu ni kwamba imenichukua muda mrefu kumsahau.
 
Back
Top Bottom