DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Wakati Lissu na timu yake wakiandaa mikakati mbalimbali bado naona anahitajika mtu Kama Salim Mwalimu katika safari ya ukombozi .
Nimemfahamu Salim Mwalimu tangia akiwa Vodacom katika idara ya masoko na pia nimewahi kufanya nae kazi katika taasisi Fulani .
Ni Kijana smart ,humble and goal oriented .
Bado naiona potential kubwa ndani yake. ✌🇹🇿🤝🏿
Nimemfahamu Salim Mwalimu tangia akiwa Vodacom katika idara ya masoko na pia nimewahi kufanya nae kazi katika taasisi Fulani .
Ni Kijana smart ,humble and goal oriented .
Bado naiona potential kubwa ndani yake. ✌🇹🇿🤝🏿