Bado napata wakati mgumu juu ya huyu mfanyakazi mwenzangu



ushauri umedamshi
 

hapo lakufanya mzee ni kumgegeda tuu hamna lingine. na utoe dozi kamilifu
 
Okay upo tayari kumla ila unasikilizia go ahead kutoka kwa wapenzi watazamaji....
Unajua kutumia hiyo shaft yako vizuri? Kamle tu ile kisawasawa...ila jiandae kwa lolote.

pamoja na kufanya show ya kweli lazima aende na kilainishi ali angalau ale jicho
 
Nasikitika sana mumewe na huyo mfanyakazi mwenzio ni member wa kudumu humu JF. 🙂
 
We utakuwa mwanaume wa Dar.....Yaani unajiuliza jambo lililowazi?...huyo ni binadamu na anamatamanio yake.....kuna uwezekano jamaa hamtoshelezi kabisa sasa aende wapi?......ningekuwa mimi sasa hivi tungekuwa tunazungumzia ishu za mimba yangu tunafanyaje....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…