Ushauri wangu, kwa dodoma kufanya biashara kama ya kkoo itakua ngumu, (usilichukulie neno vibaya).
Brand your bussiness hapo ulipo.
Maana biashara ya juma means hyo m7 ilibidi yte ununue nguo ya aina moja. Either kadeti au tshirt hizo iwe ndio centre, hata unapoomba mali kauli unajulikana wewe ni mfanya biashara wa aina hii, na utadeal na watu hao tu, .. that means dodoma utajulikana wewe ni chimbo la tshirts au hizo dogi dogi au kadeti au unauza nguo za kike.
To conclude, kwa mzigo uliokua nao, brandthe bussiness uza huo mzigo wote kwa reja reja, utapambana baadae.
Nina duka kkoo, nimeona ile post yako ulipoituma ila acha leo niseme kidgo what is in my mind.