Bado natafuta connection ili biashara yangu iweze kukua

Bado natafuta connection ili biashara yangu iweze kukua

Broe sio kebehi mimi mwenyewe ni muuza nguo tena nauza lonya Ninauza Dg Dar 10000 mimi nauza 11000 bei ya jumla nauza suruali 13000 Dar Nanunua 12000 Nineuliza kuhusu bei za soft jeans ili nipime bei zake kadeti tunachukua 12800 dar bei ya jumla Tunduma tunauza 13500 hadi 14000 ko nataka nijue Range ya Bei Zake
Ahaa nimekuelewa kaka, Mm nguo lonya imenishinda kuiuza maana sina wateja wake niliwahi kule jeans flan hivi low quality zilikua bando 2 tu niliuza pc4 kwa miezi miwili nikampa jamaa yangu aniuzie the yuko mbali nami kidogo. Akazimaliza ndanibya mwezi. So mm wateja wa lonya sina kaka. Mf kadet huwa nachukua ya 15k na ya 19k jumla nauza 20k kwa 30k ndio nina wateja wake.

Hizo kadets lonya kuna jamaa anaitwa liston anaziuza kwa 13k kwa bando hapo kkoo
 
Sometimes jifunze kuridhika, usijaze mali mpaka mteja akija dukani akose kumbe nguo ipo.
Weka duka safi kama unataka mzigo mkubwa weka stoo.
Nimekusoma boss. Thats branding technique
 
Ushauri wangu, kwa dodoma kufanya biashara kama ya kkoo itakua ngumu, (usilichukulie neno vibaya).
Brand your bussiness hapo ulipo.
Maana biashara ya juma means hyo m7 ilibidi yte ununue nguo ya aina moja. Either kadeti au tshirt hizo iwe ndio centre, hata unapoomba mali kauli unajulikana wewe ni mfanya biashara wa aina hii, na utadeal na watu hao tu, .. that means dodoma utajulikana wewe ni chimbo la tshirts au hizo dogi dogi au kadeti au unauza nguo za kike.

To conclude, kwa mzigo uliokua nao, brandthe bussiness uza huo mzigo wote kwa reja reja, utapambana baadae.
Nina duka kkoo, nimeona ile post yako ulipoituma ila acha leo niseme kidgo what is in my mind.
 
Back
Top Bottom