mxrereco
JF-Expert Member
- Feb 21, 2014
- 1,906
- 3,986
Habari wapambanaji...
Katika harakati zangu za kuufukuza kabisa umaskini nimeweza kuwekeza kwenye duka la nguo za kiume hapa DODDMA, linaitwa Mserereko Outfits. Bei zangu ni sawa na hamna. Nipo kwenye tasnia hii kwa miezi 7 sasa na progress naiona.
Nataka kukua wakuu, nataka kuuza jumla kwa bei sawa na za kkoo, kwa hapa dom nitawashika wafanya biashara wengi sana wa mavazi. Changamoto ni mtaji wakuu. Kwa sasa nina thamani ya around 7M+
Nimewahi kuweka chapisho hapa la kuomba connection ya watu wa kkoo ambao tunaweza ingia nao makubaliano wawe wananipa mzigo nasukuma tunalipana. Kuna mtu nilimpata bado tupo kwenye kuwasiliana zaidi kwa sasa na si biashara.
Narudi tena wakuu nahitaji sana msaada wenu wa connection za madon wa kkoo, nipate mzigo wa mkopo nianze kupush jumla. Nguo pendwa ni jeans na tshirts round, f6 na v neck. Kwa yeyote mwenye connection tusaidiane maisha jamani.
Kazi njema
Katika harakati zangu za kuufukuza kabisa umaskini nimeweza kuwekeza kwenye duka la nguo za kiume hapa DODDMA, linaitwa Mserereko Outfits. Bei zangu ni sawa na hamna. Nipo kwenye tasnia hii kwa miezi 7 sasa na progress naiona.
Nataka kukua wakuu, nataka kuuza jumla kwa bei sawa na za kkoo, kwa hapa dom nitawashika wafanya biashara wengi sana wa mavazi. Changamoto ni mtaji wakuu. Kwa sasa nina thamani ya around 7M+
Nimewahi kuweka chapisho hapa la kuomba connection ya watu wa kkoo ambao tunaweza ingia nao makubaliano wawe wananipa mzigo nasukuma tunalipana. Kuna mtu nilimpata bado tupo kwenye kuwasiliana zaidi kwa sasa na si biashara.
Narudi tena wakuu nahitaji sana msaada wenu wa connection za madon wa kkoo, nipate mzigo wa mkopo nianze kupush jumla. Nguo pendwa ni jeans na tshirts round, f6 na v neck. Kwa yeyote mwenye connection tusaidiane maisha jamani.
Kazi njema