Elewa comment kabla huja reply, nimesema wanufaika ni Rwanda, Burundi na Congo DRC wanapotumia bandari ya Mombasa badala ya kupitia Kampala watakuwa wanapitia Mwanza.Hakuna umuhimu wowote ule maana kibiashara Uganda haitegemei sana Tanzania kutokana na uhuni wa kodi. Yani ule ni upotevu wa fedha za umma
Hakuna umuhimu wowote ule maana kibiashara Uganda haitegemei sana Tanzania kutokana na uhuni wa kodi. Yani ule ni upotevu wa fedha za umma.
Sinikupinga tuu hawa jamaa hata hajaelewa ulicho andika.Elewa comment kabla huja reply, nimesema wanufaika ni Rwanda, Burundi na Congo DRC wanapotumia bandari ya Mombasa badala ya kupitia Kampala watakuwa wanapitia Mwanza.
Jamaa anakera sana yaani ameliona daraja la Busisi pekee halina umuhimu kwa kuwa liko kanda ya ziwa ila hajaona madaraja yaliyojengwa sehemu nyingine kama daraja la Rufiji, daraja la Malagalasi, daraja la mto Kilombero, daraja la Nyerere na n.k.Daahhh mawazo mengine bana hadi kero kwa kweli.
Tatizo la wengi wanaopinga wana-base kwenye 700b bila kuangalia hali halisi ya huko linakojengwa daraja. Sasa kwa mindset ya kuangalia hela tu bila kuangalia hali halisi ya uhitaji wa hilo daraja tutakuwa tunaposha watu wengine bila sababu za msingi. Wengine humu wanapinga tu wakati hawajui hata daraja lenyewe linajengwa wapi kazi kupinga tu kila kitu anachofanya JPM utadhani huyo mungu mtu wao wanaomabudu anaweza kuwa na guts kama za JPM hata robo!
Huyu jamaa haijui hiyo barabara, hii njia inaunganisha kenya na nchi za Rwanda Burundi na DRC.Elewa comment kabla huja reply, nimesema wanufaika ni Rwanda, Burundi na Congo DRC wanapotumia bandari ya Mombasa badala ya kupitia Kampala watakuwa wanapitia Mwanza.
Acha upuuzi bilioni 700 ndiyo unaona pesa nyingi kwenye nchi kama Tanzania? Acha mawazo ya kimaskini, kwanza daraja limechelewa sana kujengwa lilitakiwa lijengwe miaka ya 60 kutokana na umuhimu wake kwa sababu linaunganisha zaidi ya nchi nne za Uganda,Congo DRC, Rwanda na Burundi. Magari yanayoenda nchi hizo huwa yanapita kwenye hicho kivuko cha Busisi.Ni kutupa fedha za maskini baharini. Bilioni 700 tungejenga barabara kilometer 700 kanda ya ziwa ingeunganishwa wilaya zote kwa barabara safi ya lami.
Nonsense!Mkuu hili ni sawa na Daraja la OYSTERBAY ufujaji wa hela tu.
Alternative iliyokuwa bado hajatumika ni daraja pamoja na kuogelea (kupiga mbizi) sasa tumeona kuwa wengi hawajui kuogelea hivyo tumeamua kujenga daraja!..zaidi ya daraja kuna alternative gani nyingine?
..hebu tuelezee kidogo JIOGRAFIA ya eneo hilo na changamoto zake.
Wanapata ruzuku ya zaidi ya bilioni tatu kila mwaka lakini wameshindwa hata kupiga rangi makao makuu ya chama achilia mbali kujenga ofisi ya makao makuu ya chama.Chadema wanahisi kuwampinzani ni kupinga kila jambo zuri la serikali.
Chadema mnapokea ruzuku ya chama kila mwaka,kwa nini mmeshindwa kujenga hata ofisi kuu ya chama chenu.mnakalia kukosoa tu?View attachment 1570232
Chadema acheni upuuzi wenu wakati wanajenga madaraja ya Mkapa, Kilombero, Nyerere, Malagalasi na n.k, watu wa kanda ya ziwa hawakulalamika lakini linapojengwa daraja la Busisi mnapiga kelele hii si sawa hata kidogo. Hamujui mateso waliyokuwa wanapata wakati wa kusubiri Ferry hasa wakati wakiwa na wagonjwa.Hapa ndipo daraja la Tshs bilioni 700, fedha ambazo hata hazikujadiliwa na bunge zinatumika. Eneo ni Kigongo-Busisi. Kwakweli Bunge la Ndugai litajibu haya mbele za Mungu!
View attachment 1570153
Nawaza tu bilioni 700 Tshs ambazo ni hela nyingi sana yani hata Richmond haioni nusu yake. Kama zingetumika kwa mtu kuona mbali. Kuliko kujenga hilo daraja litakalopitisha Hiace na mbaya zaidi kama tozo zitakuwa kubwa maana hili eneo lina watu wa kipato cha chini sana basi wakaamua kuachana na kulitumia wakaendelea na usafiri wao wa feri.
Embu tuangalie kama tungewaza vyema kwa hii bilioni 700
1. Tungechukua tu hapo kidogo tukawanunulia feri za kisasa.
2. Tukatumia hapo fedha nyingine kuboresha maisha ya watu wa eneo hilo kama kuwapa mikopo yenye riba nafuu kisha mzunguko wao wa hela ukawa mkubwa. Yani kiufupi tungefanya mambo mengine mengi sana na hii hela! Ila kwa kuzitumia kwenye huu mradi ni HAPANA!
Yani Magufuli alifanya tu ziara hapo akakumbuka kuwa alikuwa anachunga ng'ombe eneo hilo basi hapo hapo akaamua lijengwe daraja na tena akatamka kuwa wajenge chap chap maana kama atakuja Rais mwingine ataufuta huo mradi! Kumbe hata yeye akilini mwake anajua kuwa ni mradi wa hovyo kupindukia!
Naumia maana gharama za mradi huu unazidi ule wa Kigamboni ambao walau ulikuwa na maana ingawa nao ulishavurugwa vurugwa na kweli fedha zinatumika isivyo kabisa!
..daraja ni kwa ajili ya wasafiri wa Mwanza kwenda Geita.
Geita Region Map: Auriole — Ukaranga | Tanzania Google Satellite Maps
Kweli ujinga ni mzigo, kwa hyo umeambiwa wagonjwa na watu wanaovuka hapo wanatoka Sengerema tu?Yaani wagonjwa wa Sengerema ambao kwenda hospitali ya Bugando wanavuka kama wale wa Kigamboni ndio muhimu kwa gharama hiyo? Kwa nini isingejengwa hospitali kubwa nyingine Geita? Sasa watu wa Katavi na Kigoma ambao hata lami ya kuwafikisha hiyo hospitali kubwa ya Bugando haipo utasemaje?
Vv