Abel james
Senior Member
- Jun 12, 2014
- 103
- 8
Habari wana jf,naitwa abel kikimba ni mkazi wa mafinga wilaya ya mufindi,kiukweli nimejitokeza tena humu kumtafuta mdhamini ambae yupo tayali kunisomesha kwa elimu ya chuo kwan nimehitimu elimu yangu ya kidato cha sita mwaka 2013 na nina sifa zote stahiki za kujiunga na elimu ya juu,kiupande wangu nimejiandaa kiasi ,mwanzo nilijitokeza na mdhamin aliyesema yupo tayali kunisaidia alisema yupo tayali kunisaidia kwa shart moja tuu yaan awe ananigeuza nyuma mara moja moja,kiukwel nimemkatalia kabisa na nimwemwambia spo tayali kwa shart hlo,nitashukuru endapo atapatikana mdhamin mwenye mapenz mema anaemjua mungu,naomba tuwasiliane kupitia 0763175935