bado natafuta muhogo

bado natafuta muhogo

Hakikisha unapata ulomenywa vizuri.........maganda ya muhogo ni sumu

37040.jpg
 
kama una nazi hapo upo pazuri nami nimejaaliwa JIMBUZI kajili ya kukuuuna hiyo nazi. Tena kabla ya kuikuna ntaifua kwanza iwe safi ili isije chafua tui litakalokamuliwa hapo. Waonaje hiyo, kama umeridhia we ni pm tu tutafutane ili nku hiyo ,mbuzi bi Jane.
 
Back
Top Bottom