Bado ni kama ndoto, mpaka sasa ni miezi 10 tu tangu nimpoteze Mama yangu

Bado ni kama ndoto, mpaka sasa ni miezi 10 tu tangu nimpoteze Mama yangu

After I permanently lose someone very special, how do I, and should I even try to, keep from falling into despair?

Rest in internal peace my lovely Mom. Kweli sio kila anaecheka na wewe anakutakia mema.

I really miss my super and lovely Mom.
Pole sana, inauma sana, kila siku unajipa matumaini kwamba labda amesafiri atarudi, unapotembea unafikili umekatwa mabawa, Mali ulizonazo unaona hazina maana yeyote. Kupoteza Mama Ni kazi nzito sana.
 
Kifo hakina chaguo kama tungekuwa tunachagua ningechagua mama abaki Mungu anichukuwe mimi.

Mama amenitembelea mwezi mzima nakuta msosi tiyari asubuhi kuninyooshea nguo, amarudi home jana nahisi kuumwa hakuna kama mama.

Pole mkuu, pole wote walofiwa na wazazi na watu wao wa karibu, marafiki, poleni sana wakuu.

Ee Mungu tunakuomba wazazi wetu waishi umri mrefu, na wale walio tangulia akiwemo baba yangu, bibi zangu ,rafiki yangu queen wapumzike kwa amani.
 
Mzazi aliekulea akifariki unaumia sana, but mimi nahisi kama ni binadamu ambae nina roho ya tofauti sana na binadam wengne aseeeh , sjaumbwa na roho ya kuumia hata akifariki ndugu yangu wa karibu [emoji17]
Unapokutana na mwanamke kimwili mwanamke skies danger period hapo huwa kuna roho ya Mungu na roho ya shetani, ndo maana unatakiwa kusali kabla ya kutunga mimba hili roho ya shetani isiingiye akazaliwa kama wewe, maana shetani naye anafanana na sura ya binadamu.lakini matendo yake utayajua tu.
 
Pole sana, inauma sana, kila siku unajipa matumaini kwamba labda amesafiri atarudi, unapotembea unafikili umekatwa mabawa, Mali ulizonazo unaona hazina maana yeyote. Kupoteza Mama Ni kazi nzito sana.
Jirani yangu alifiwa na baba, katika kulia anapiga ukunga akasema baba umeondoka mapema hata hujaona mjukuu dah nililia, iliniuma kuna hisia zilikuja kichwani dah kifo.
 
Kifo hakina chaguo kama tungekuwa tunachagua ningechagua mama abaki Mungu anichukuwe mimi.

Mama amenitembelea mwezi mzima nakuta msosi tiyari asubuhi kuninyooshea nguo, amarudi home jana nahisi kuumwa hakuna kama mama.

Pole mkuu, pole wote walofiwa na wazazi na watu wao wa karibu, marafiki, poleni sana wakuu.

Ee Mungu tunakuomba wazazi wetu waishi umri mrefu, na wale walio tangulia akiwemo baba yangu, bibi zangu ,rafiki yangu queen wapumzike kwa amani.
I felt this. [emoji120]
 
Ukifiwa na mzazi au mtu wa karibu sidhani kama Kuna siku itapita usimuwaze au sura yake isikujie kichwaniii...!! Yani msiba ni wa siku chache ila kwa husika wa karibu kilio ni cha Miaka yoteee..[emoji24][emoji24][emoji24] Rest in peace Mum.
 
Move one Mimi nmempoteza Mtu muhimu sana niliongea nae kama Jana Leo napigiwa simu kapata ajari nilidata niliotegemea wawe faraja yangu Nao wakaondoka yaani mkuu ni ku face reality tu
 
Ni miezi mitatu sasa toka nimpoteze mwanangu, my handsome boy nilietegemea angekuja kunisaidia uzeeni, he left me at such young age .
Sometimes nahisi nakufa taratibu day after day
Daah pole sana mkuu..!! Utalia karibu kila siku cha muhimu ni kumuombea na Kujikazaa mambo mengine yaende.
 
Pole sana, inauma sana, kila siku unajipa matumaini kwamba labda amesafiri atarudi, unapotembea unafikili umekatwa mabawa, Mali ulizonazo unaona hazina maana yeyote. Kupoteza Mama Ni kazi nzito sana.
Ni kweli kabisa . ni pigo ambalo halina replacement katika maisha. Najaribu kupotezea ila wapi. Ila yote ni kumuomba Mungu tu.
 
Ni miezi mitatu sasa toka nimpoteze mwanangu, my handsome boy nilietegemea angekuja kunisaidia uzeeni, he left me at such young age .
Sometimes nahisi nakufa taratibu day after day
Pole sana kwa hilo katika yote ni kumuomba Mungu.
 
Back
Top Bottom