Mm kote nipo lkn olah watu wa morogoro wanasemaga karagabao... Penpal word,meet 2, ExtentsworddatingWenye ndoto za kufika Ulaya na America, fata njia hizo
Hey guys, leo nimeona niwagawie kijielimu kidogo kuhusu kufika Ulaya na America kwa wale wenye hayo matamanio lakini hawana mchongo, 1. Dating sites, Wengi najua mnazunguka sana kwenye dating sites kutafuta wazungu na bado hamjafanikiwa, dating sites sio mbaya je unatumia ipi? kama ni free...www.jamiiforums.com
Utamponza huyu, vijana wa Arusha wamepasuliwa spika zao kwa hizi tamaa.Anza kuwa beach boy vuga dread Anza kukaa baharini kuuza konokono
Nenda DubaiMimi moja ya vijana wenye ndoto na Ulaya binafsi yangu sina connection yoyote ya kwenda huko ila nakumbuka zamani nikiwa shule ya msingi nilikuwa na ndoto za kupata mwanamke wa KIZUNGU Ili iwe rahisi mm kufika huko, mpaka sasa kiukwel sijui hata huyo mzungu nampatia wapi.
Nimewasilisha hili Ili mwenye mchango wowote kama sio wa nauli ya jet🤣 basi hata nitumie njia gani kufanikisha ndoto zangu.