Haji Manara ni mtoto wa Sunday Manara " Computer " Legendary wa Dar Es Salaam Young Africans of all the time.
Haji Manara kama mtoto wa Legendary wa Dar Young Africans ambae almost utoto wake wote amekua akimshuhudia baba yake kama Mchezaji wa kutegemewa wa Yanga, nilitegemea angekuwa shabiki wa Yanga but I am.surprised that imekuwa the opposite.
Ni sawa na mtoto wa Sheikh Mkuu wa mkoa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa.
Watu wengi tunao shabikia Simba na Yanga ni kwa sababu tumewakuta baba zetu wakishabikia timu hizo. Tumerithi kama dini vile.
Mimi ni shabiki wa Yanga kwa sababu nimezaliwa nikimkuta baba yangu ana shabikia Yanga.
Na mimi nikaanza kuipenda Yanga kwa sababu ya kumfuata baba.
Every member of our family is royal to Dar Young Africans.
We are royal to Yanga probably because we are loyal to our father.
Mwaka 97 nikiwa darasa la sita nikaanza kuishabikia Arsenal. I introduced Arsenal to my father soon there after and he started to support Arsenal instantly probably because he was reciprocating my royalty to him.
Back to Haji Manara . Unaweza kutolea maelezo hili? How comes baba ako alikuwa Legendary wa Yanga halafu umekuwa shabiki na msemaji wa Simba.
This is not royal bro.
Mimi niliipenda Yanga simply kwa sababu baba yangu alikuwa shabiki wa Yanga seuze wewe ambae baba yako alikuwa anaichezea kabisa Yanga!!!
Whats up bro?
KHalafu ukitumia kiswahili unaandika vizuuuuuri ila sasa ukiingizia kakingereza hapo unaboronga.... Hilo neno ROYAL ulilotumia ulitaka liwe na maana kama ya neno LOYAL au ndio kujifunza kutamka kwa lafudhi ya lugha yenu ya kisandawe kabla ya kujua spellings za neno
Tunajua una hamu ya kujua kingereza, na yumkini huenda mtaani kwenu wewe ndio msomi,ila unapokuwa sehemu unayoamini wapo vipanga waliokuzidi basi tumia lugha ambayo upo vizuri zaidi la sivyo unajishushia credits, sawa sawa mr ROYAL instead of LOYAL?
Mpenzi ndiye mshabiki, na mpenzi ndiye mwanachama. Kama hupendi huwezi kuwa mwanachama, kama hupendi,na huyumshabiki hawezi kuwa mshabiki pasi kuwa mpenzi.Cha ajabu hapa hakuna hata mmoja anayelipia fee yake ya uanachama huko Simba/Yanga ila wote mnasema mnazipenda hizo timu.
Tofauti kati ya Mpenzi vs Mshabiki inabidi iwekwe bayana.
Mkuu wewe unalipia fee ya uanachama wako hapo Simba/Yanga?Mpenzi ndiye mshabiki, na mpenzi ndiye mwanachama. Kama hupendi huwezi kuwa mwanachama, kama hupendi,na huyumshabiki hawezi kuwa mshabiki pasi kuwa mpenzi.
Ila yote kwa yote mshabiki ndiye mwanachama wa baadae pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
anakula "vyombo" kama kawa ila kwa kificho sana.
Baba yangu ni mwanachama miaka ile ya tisini alikuwa anakatisha ticket kwenye mazoezi ya Yanga uwanja Kaunda, nami nimehudhuria sana mazoezi na mechi za y Yanga miaka ya tisini, ghafla tu nikajikuta nashabikia Simba Sports ClubHaji Manara ni mtoto wa Sunday Manara " Computer " Legendary wa Dar Es Salaam Young Africans of all the time.
Haji Manara kama mtoto wa Legendary wa Dar Young Africans ambae almost utoto wake wote amekua akimshuhudia baba yake kama Mchezaji wa kutegemewa wa Yanga, nilitegemea angekuwa shabiki wa Yanga but I am.surprised that imekuwa the opposite.
Ni sawa na mtoto wa Sheikh Mkuu wa mkoa kuwa Askofu Mkuu wa Kanisa.
Watu wengi tunao shabikia Simba na Yanga ni kwa sababu tumewakuta baba zetu wakishabikia timu hizo. Tumerithi kama dini vile.
Mimi ni shabiki wa Yanga kwa sababu nimezaliwa nikimkuta baba yangu ana shabikia Yanga.
Na mimi nikaanza kuipenda Yanga kwa sababu ya kumfuata baba.
Every member of our family is royal to Dar Young Africans.
We are royal to Yanga probably because we are loyal to our father.
Mwaka 97 nikiwa darasa la sita nikaanza kuishabikia Arsenal. I introduced Arsenal to my father soon there after and he started to support Arsenal instantly probably because he was reciprocating my royalty to him.
Back to Haji Manara . Unaweza kutolea maelezo hili? How comes baba ako alikuwa Legendary wa Yanga halafu umekuwa shabiki na msemaji wa Simba.
This is not royal bro.
Mimi niliipenda Yanga simply kwa sababu baba yangu alikuwa shabiki wa Yanga seuze wewe ambae baba yako alikuwa anaichezea kabisa Yanga!!!
Whats up bro?
Daaah wajukuu wamepata BabuHaya mambo ni tofauti mimi familia yangu wote ni simba baba, mama na ndugu zangu wa kuzaliwa pia wale wote walio kulia kwa mzee wangu ni simba
mzee wangu kama simba inacheza huwa linapikwa pilau nyumbani soda, kuku kifupi ni sherehe. ana kofia zile zimeandikwa "simba taifa kubwa" basi huivaa siku iyo
mie nimekuwa shabiki ya yanga toka kwa baba mdg maana alikuwa akija anabeba zawadi huku mimi akinipa nguo za njano/kijani akisema mimi ni yanga dam dam.
nimekuwa hivyo nikiamini na kuipenda yanga hadi leo.
naona sasa ivi mzee anawarithisha wajukuu.maana nilirudi nyumbani nakuta siku ya mechi wote wamevaa simba huku pilau limeandalia wanaambiwa "njooni mle matunda ya kuishangilia simba"
yawezekana hajji alipata mtu/nduguye akamfanya aipende simba