Uko sahihi kabisa mkuu, yaani hapo ni kupanga tukwahiyo naweza kujiwekea namna ya kua na marafiki kote kote bila kubagua au sio?
hahahahhahahha, umenigusa sana, maana hata mim n kama wew, yani mpka naona kero sometimes alafu wa mtaani wana majungu mabaya sanayap mada yako inauhalisia mkubwa tu ..but inategemea pia na ratiba zako zilivyo ..ila mimi ni addicted wa marafiki wa mitandaoni zaid kuliko hawa wa mitaani ..huwa nawaonaga miyeyusho tu ...halafu wengi wao ufahamu wao nimdogo wengine hata kujielezea tu hawajui
Kadiri nipatavyo muda nashirikiana nao na hata kuwasiliana naowe hua una mudu vipi hili
hapo kwenye majungu ndio usiseme ..miaka nenda rejea nimeishi kinondoni kabla yakuhamia Mbezi lakini nimejitahidi mnoo kuishi tofauti navijana wenzangu wao ikifika weekend ni kama mapopo walichokipata ndani ya week nzima wanakwenda kukitumia ndani ya siku moja tu ktk sehemu za starehe..majungu sasa ndio usiombe .story zao kila mmoja anawaza kuwa punda...daahh basiii mimi bhanaa nilikuwa nawakwepa ..rafiki yangu mkubwa haswaaa na mpnzi wangu wakwanza nisimu ..nikikosa cm basiii natabiri hata uhai wangu utakuwa na mashaka ..maana huwa nawaza mambo makubwa mnooo ..so inapotokea harakati zangu za kuyafikia hayo mambo zika backfire huwa natumia cm yngu kusocialise na kujifnza mambo mbali mbali that's all...hahahahhahahha, umenigusa sana, maana hata mim n kama wew, yani mpka naona kero sometimes alafu wa mtaani wana majungu mabaya sana
Hiyo avatar ni ww mkuu,, km ni wewe hongera kwa mtoto wa kiume kurembua macho ivo
kushirikiana nao kunapaswa kuwapo kwnye mambo yenye tija mkuu...Kadiri nipatavyo muda nashirikiana nao na hata kuwasiliana nao
AISEEE NAONA WACHOCHEA KUNI ZA BAN
HahahahahahaHiyo avatar ni ww mkuu,, km ni wewe hongera kwa mtoto wa kiume kurembua macho ivo
na ndivyo ninavyofanyakushirikiana nao kunapaswa kuwapo kwnye mambo yenye tija mkuu...
hahahaaha, kweli ulicho kisema nakubali kwa 100%hapo kwenye majungu ndio usiseme ..miaka nenda rejea nimeishi kinondoni kabla yakuhamia Mbezi lakini nimejitahidi mnoo kuishi tofauti navijana wenzangu wao ikifika weekend ni kama mapopo walichokipata ndani ya week nzima wanakwenda kukitumia ndani ya siku moja tu ktk sehemu za starehe..majungu sasa ndio usiombe .story zao kila mmoja anawaza kuwa punda...daahh basiii mimi bhanaa nilikuwa nawakwepa ..rafiki yangu mkubwa haswaaa na mpnzi wangu wakwanza nisimu ..nikikosa cm basiii natabiri hata uhai wangu utakuwa na mashaka ..maana huwa nawaza mambo makubwa mnooo ..so inapotokea harakati zangu za kuyafikia hayo mambo zika backfire huwa natumia cm yngu kusocialise na kujifnza mambo mbali mbali that's all...
nikiwa sina ratiba ya kazi naweza shinda kutwa nzima hata kula nasahau nimwendo wakuperuzi tu ..
but huwa najitahidi kujizuia kuperuzi peruzi mambo ya kijinga kwa wingi
Ki vipi mkuu hearly?AISEEE NAONA WACHOCHEA KUNI ZA BAN
tafuta marafiki wenye tija wenye maono ya maendeleo, sio wale wapiga majungu na wasio na mitazamo chanya....sawa, sasa hata kama huna cha maana cha kuzu
ngumza nao ??/
ikiwa ushauri na kila kitu unakipata humu??
kwa mfano lakin