bado sielewi kuhusu hili,,,,,

hahaha, swali lako umenifanya nicheke kwa sauti ya juu kidogo!!!
hahaaa lakini sio lakichochezi !!?
sasa wewe badala yakunipa jibu ..umeishia kucheka tu ..au ndio jibu lenyewe hilo mkuu
 
Ni jinsi unavyojipozisheni uraiani kwako na mitandaoni.


Kama marafiki wa uraiani huwaelewi JITAFAKARI
 
Unaweza kuwa na washkaji wa kitaa huku unacheki na masela wako wa humu jf
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…