Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni suala la mkataba tu, sasa kwenye nikataba kuna mambo mengi sana, je mzizewakati anasaini mkataba wake huu anaoutumikia alikuwa kwenye kiwango hiki, je alikuwa anajifahamu, anajua thamani yake?
Dube kaingia yanga kama mchezaji mkubwa sana, akacheza hapo kavuta mpunga,
Sasa ni suala la mzize mkataba ujao akomae alipwe pesa nzuri, akileta huruma itakula kwake.
Kila mwamba ngoma huvutia kwake, yanga watavutia kwaona mzize itambidi avutie kwake.
Siku naona habari za lile duka. Nikaona kama dogo management inampumbaza kisaikolojia.Ni suala la mkataba tu, sasa kwenye nikataba kuna mambo mengi sana, je mzizewakati anasaini mkataba wake huu anaoutumikia alikuwa kwenye kiwango hiki, je alikuwa anajifahamu, anajua thamani yake?
Dube kaingia yanga kama mchezaji mkubwa sana, akacheza hapo kavuta mpunga,
Sasa ni suala la mzize mkataba ujao akomae alipwe pesa nzuri, akileta huruma itakula kwake.
Kila mwamba ngoma huvutia kwake, yanga watavutia kwaona mzize itambidi avutie kwake.
Dube kaingia kama senior player na mwenye experience, Mzize kaingia kama Junior ambaye anaendelea kukua, japo kwa sasa anaanza kuwa vizuri.Hebu nisaidiane majibu!
Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize?
Kwa sababu kila mchezaji ana mkataba wake binafsi aliokubaliana na klabu. Kwa performance yake ya sasa Mzize ataongezewa mpunga muda mfupi tu ujao.Hebu nisaidiane majibu!
Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize?
Angalia wakati wanasajiliwa, sio wakati huu. Mmoja alitoka Azam tena kwa kuforce, mwingine akatoka kijiwe cha bodaboda.Hebu nisaidiane majibu!
Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize?
Wachezaji wa kibongo issue za mikataba hawaelew akipewa million 5 na makomandoo asaini mkataba wa million 2 Kwa mwezi Kwa muda wa miaka mi5 anaona nyingi sana matokeo yake anakujua kugundua baadae kumbe ana thamani kubwa kuliko pesa anayolipwa.Ni suala la mkataba tu, sasa kwenye nikataba kuna mambo mengi sana.
Je, Mzize wakati anasaini mkataba wake huu anaoutumikia alikuwa kwenye kiwango hiki, je alikuwa anajifahamu, anajua thamani yake?
Dube kaingia yanga kama mchezaji mkubwa sana, akacheza hapo kavuta mpunga,
Sasa ni suala la mzize mkataba ujao akomae alipwe pesa nzuri, akileta huruma itakula kwake.
Kila mwamba ngoma huvutia kwake, yanga watavutia kwaona mzize itambidi avutie kwake.
Kwa mpira Upi Mzize amzidi Dube Mshahara?
Ila Mbowe naye aachie Uenyekiti..!
Unataka kuleta vurugu kama za Feisal Salum?......Muacheni Mzize msimstueNi suala la mkataba tu, sasa kwenye nikataba kuna mambo mengi sana.
Je, Mzize wakati anasaini mkataba wake huu anaoutumikia alikuwa kwenye kiwango hiki, je alikuwa anajifahamu, anajua thamani yake?
Dube kaingia yanga kama mchezaji mkubwa sana, akacheza hapo kavuta mpunga,
Sasa ni suala la mzize mkataba ujao akomae alipwe pesa nzuri, akileta huruma itakula kwake.
Kila mwamba ngoma huvutia kwake, yanga watavutia kwaona mzize itambidi avutie kwake.
Ashtuke, mpira una muda wake, wakati ndio huu, apige pesa.Unataka kuleta vurugu kama za Feisal Salum?......Muacheni Mzize msimstue
Mnataka kumvuruga kijana wetu kama Feisal. Mwacheni atumikie mkataba wake kwa usalama. Akitaka maboresho ya malipo aendelee kuonyesha ubora wake hakuna jambo linaloshindikanaHebu nisaidiane majibu!
Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize?
Elimu ya darasani hawana,Wachezaji wa kibongo issue za mikataba hawaelew akipewa million 5 na makomandoo asaini mkataba wa million 2 Kwa mwezi Kwa muda wa miaka mi5 anaona nyingi sana matokeo yake anakujua kugundua baadae kumbe ana thamani kubwa kuliko pesa anayolipwa.