Bado sielewi, kwanini Dube alipwe fedha nyingi kuliko Mzize?

Bado sielewi, kwanini Dube alipwe fedha nyingi kuliko Mzize?

Lakini si kuna utaratibu maalumu wa kufanya maboreshe ya mkataba?

Kisa leo wewe ni beki umepiga Tackling kali, kesho asubuhi upo ofisini kwa Rais uongezewe mshahara.

Hiyo itakuwa Klabu au kikundi cha masela wa Manzese?
 
Back
Top Bottom