magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Jan 9, 2025 #21 Lakini si kuna utaratibu maalumu wa kufanya maboreshe ya mkataba? Kisa leo wewe ni beki umepiga Tackling kali, kesho asubuhi upo ofisini kwa Rais uongezewe mshahara. Hiyo itakuwa Klabu au kikundi cha masela wa Manzese?
Lakini si kuna utaratibu maalumu wa kufanya maboreshe ya mkataba? Kisa leo wewe ni beki umepiga Tackling kali, kesho asubuhi upo ofisini kwa Rais uongezewe mshahara. Hiyo itakuwa Klabu au kikundi cha masela wa Manzese?
Inside10 JF-Expert Member Joined May 20, 2011 Posts 29,909 Reaction score 32,414 Jan 9, 2025 #22 Bigmaaan said: Hebu nisaidiane majibu! Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize? Click to expand... Hebu weka hiyo mishahara yao kwanza ndio tujadili
Bigmaaan said: Hebu nisaidiane majibu! Kwanini mshambuliaji Prince Dube alipwe fedha nyingi kuliko Clement Mzize? Click to expand... Hebu weka hiyo mishahara yao kwanza ndio tujadili
pwilo JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 10,913 Reaction score 13,876 Jan 11, 2025 #23 Wachezaji wa Tanzania hawajielewi.