Bado sijaona wa kumfunga Uhispania hadi sasa

Bado sijaona wa kumfunga Uhispania hadi sasa

Mkuu umetolea mfano wa Fred na Casemiro kupotezwa na Brighton unasahau kuwa hao viungo wa Spain uliowataja wote wako Barca na wameshindwa hata kuivisha team kwenda group stage ya UEFA tena waliteseka Sana Kwa viungo wa Bayern kina kimmich, Goretzka, Sabtzer Barca anafungwa nje ndani
leo watakuwepo wote, alemania watakuwa na kimmich,goretzka,nk, Spain watakuwa na ,busi,gavi,pedri majibu yarakuepo
 
Tuombe wakutane na Ufaransa au Brazil
Uhispania kwa nilivyomuona, ili uweze kumpiga tumia 'counter attack' ukiwa na winga zenye kasi na maamuzi ya haraka, ila suala la kubishana nao eneo la kiungo sahau.
 
SPAIN gani hyo ya kucheza na akina Costa Rica ndo unakuja kuizungumzia hapa kwa mbwembwe

Anyway !! Tukutane saa 4: 00 usiku leo

Germany [emoji382][emoji382][emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji3577][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629][emoji629]

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Ndo utajua hii ndo world cup, mnaoitegemea Brazil, Portugal na France Kwa kigezo cha kumiliki vikosi Bora, world cup itawashangaza.
 
Endeleeni na mpira wenu wa kupiga pasi trillion sabini (kulipa deni la nchi) wenzenu wanatafuta matokeo
 
Hadi mechi za leo, sijaona cha Brazil au Uingereza mwenye kiungo cha kupambana na Uhispania ya Luis Enrique Martinez.

Mechi dhidi ya Costa Rica alipiga pasi 1045, sijui kama kuna timu imepiga pasi kama hizi kwa miaka 10. Huyu Brazil aliyecheza na Serbia akamfunga 2-0 na tukaambiwa limepigwa samba, ni pasi 500+ tu ndiyo zilipigwa huku Serbia akipiga pasi 400+.

Kwenye mpira wa kisasa kitu cha kwanza kabisa kabla ya yote kamata kiungo. Hii ndiyo falsafa ya Pep na wafuasi wake kina Arteta, Luis Enrique n.k. Spain ya Enrique ina watu hawa Rodri Bosquet Pedri na Gavi.

Picha linaanza Rodri anawekwa CB kivuli, ndani ya uwanja anakuwa kiungo, lengo kuu nikufanya 'overload'. Kinachotokea kunakuwa na umbo la mstatili la Rodri Bosquet, juu yao kuna Pedri na Gavi.

Pale City Pep Guardiola anamtumia Cancelo kama beki lakini ndani ni kiungo, sawa na Mikel Arteta msimu huu anamtumia Zinchenko kama LB, lakini ndani anacheza kama kiungo.

Kwa nilichoshuhudia anachofanya Luis Enrique Martinez (Lucho) timu nyingi zitateseka kama alivyoteseka Costa Rica.

Timu nyingi bado zinaamini sana katika majina na siyo mifumo, Uhispania kuna mfumo unaokufanya uwe 'overloaded'.

Kwa umbo la mstatili ya Rodri Bosquet Pedri na Gavi wewe njoo na viungo wako Declan Rice na Jude Bellingham 'overrated', kuna aibu Ulaya inaenda kutokea.

Jumapili Ujerumani anaenda kufangashiwa virago na Uhispania. Fikiria Uingereza na makelele yao kwa viungo wao Rice Mount na Bellingham wanateseka kwa viungo wa USA Weston Mackenie, Yunus Musah na Tyre Adams.

Habari gani wakikutana na mstatili wa Uhispania? Brazil mnayoisifia ni wazuri kwenye 'flanks'. Kwa 'combination', Tite anazoziamini za Casemiro Fred, Casemiro Paqueta, hizi 'combination' hasa ya Fred na Casemiro imekuwa amefunikwa mara kibao hapo EPL na timu kama Brighton, Southmpton n.k.

Habari gani wakikutana na ile umbo la mstatili wa Lucho? Unapomuona Rodri na Busquet, hawa wote huwezi kuwakandamiza siyo wapotezaji wa pasi, halafu juu kidogo unawekewa Pedri na Gavi, hawa watoto wawili wanajua hadi wanakera.


Uhispania kwa nilivyomuona, ili uweze kumpiga tumia 'counter attack' ukiwa na winga zenye kasi na maamuzi ya haraka, ila suala la kubishana nao eneo la kiungo sahau.
Kwa kichekesho kingine kama hiki tubonyeze ngap.?
 
Pass 1000+ dhidi ya pass 300+
😂 Kweli ukubwa wa ndonga sio kubana kwenye pussy.
 
Back
Top Bottom