Bado sijaona wa kumfunga Uhispania hadi sasa

Bado sijaona wa kumfunga Uhispania hadi sasa

Bado sio uthibitisho mkuu.
1. Kuna Waarabu wa Afrika
2. Kuna waislam wa Afrika pia
Wenyewe hawataki wewe mbona mbishi? Wamisri, algeria, libya, tunisia na sudan kaskazini wanalalamika wamelazimishwa kuitwa waafrika wanataka mipaka ibadilishwe. Ni dunia tu ndo inawabania agenda yao isiende mbele kama wazanzibar wanavonyimwa kuwa napasspport yao na timu ya taifa inayotambulika na fifa.
 
Wenyewe hawataki wewe mbona mbishi? Wamisri, algeria, libya, tunisia na sudan kaskazini wanalalamika wamelazimishwa kuitwa waafrika wanataka mipaka ibadilishwe. Ni dunia tu ndo inawabania agenda yao isiende mbele kama wazanzibar wanavonyimwa kuwa napasspport yao na timu ya taifa inayotambulika na fifa.
Tuweke waraka hao waarab wakitaka kutambulika kuwa ni Bara Arab na si afrika
 
Wenyewe hawataki wewe mbona mbishi? Wamisri, algeria, libya, tunisia na sudan kaskazini wanalalamika wamelazimishwa kuitwa waafrika wanataka mipaka ibadilishwe. Ni dunia tu ndo inawabania agenda yao isiende mbele kama wazanzibar wanavonyimwa kuwa napasspport yao na timu ya taifa inayotambulika na fifa.
Tabia za waafrika kama wewe ni ubaguzi kwenda mbele.
 
Hadi mechi za leo, sijaona cha Brazil au Uingereza mwenye kiungo cha kupambana na Uhispania ya Luis Enrique Martinez.

Mechi dhidi ya Costa Rica alipiga pasi 1045, sijui kama kuna timu imepiga pasi kama hizi kwa miaka 10. Huyu Brazil aliyecheza na Serbia akamfunga 2-0 na tukaambiwa limepigwa samba, ni pasi 500+ tu ndiyo zilipigwa huku Serbia akipiga pasi 400+.

Kwenye mpira wa kisasa kitu cha kwanza kabisa kabla ya yote kamata kiungo. Hii ndiyo falsafa ya Pep na wafuasi wake kina Arteta, Luis Enrique n.k. Spain ya Enrique ina watu hawa Rodri Bosquet Pedri na Gavi.

Picha linaanza Rodri anawekwa CB kivuli, ndani ya uwanja anakuwa kiungo, lengo kuu nikufanya 'overload'. Kinachotokea kunakuwa na umbo la mstatili la Rodri Bosquet, juu yao kuna Pedri na Gavi.

Pale City Pep Guardiola anamtumia Cancelo kama beki lakini ndani ni kiungo, sawa na Mikel Arteta msimu huu anamtumia Zinchenko kama LB, lakini ndani anacheza kama kiungo.

Kwa nilichoshuhudia anachofanya Luis Enrique Martinez (Lucho) timu nyingi zitateseka kama alivyoteseka Costa Rica.

Timu nyingi bado zinaamini sana katika majina na siyo mifumo, Uhispania kuna mfumo unaokufanya uwe 'overloaded'.

Kwa umbo la mstatili ya Rodri Bosquet Pedri na Gavi wewe njoo na viungo wako Declan Rice na Jude Bellingham 'overrated', kuna aibu Ulaya inaenda kutokea.

Jumapili Ujerumani anaenda kufangashiwa virago na Uhispania. Fikiria Uingereza na makelele yao kwa viungo wao Rice Mount na Bellingham wanateseka kwa viungo wa USA Weston Mackenie, Yunus Musah na Tyre Adams.

Habari gani wakikutana na mstatili wa Uhispania? Brazil mnayoisifia ni wazuri kwenye 'flanks'. Kwa 'combination', Tite anazoziamini za Casemiro Fred, Casemiro Paqueta, hizi 'combination' hasa ya Fred na Casemiro imekuwa amefunikwa mara kibao hapo EPL na timu kama Brighton, Southmpton n.k.

Habari gani wakikutana na ile umbo la mstatili wa Lucho? Unapomuona Rodri na Busquet, hawa wote huwezi kuwakandamiza siyo wapotezaji wa pasi, halafu juu kidogo unawekewa Pedri na Gavi, hawa watoto wawili wanajua hadi wanakera.


Uhispania kwa nilivyomuona, ili uweze kumpiga tumia 'counter attack' ukiwa na winga zenye kasi na maamuzi ya haraka, ila suala la kubishana nao eneo la kiungo sahau.
Ukapata na like kabisa na utabiri feki!
 
Nyie ndo leo mmeanzisha udini baada ya Morocco kuwafanya ndivyo sivyo
 
Spain bhana Yani ukiwa makini ukipiga kaunta 5 tatu zote unawafunga sio wale wa 2010 - 2012.
Viungo na beki zake wazuri wakiwa na mpira TU.
 
Huyu jamaa maneno mengiii timu yenyewe haielewekii
Imagine timu imeishia kumfunga Costarica tu mpaka wanatolewa
Hivyo vitoto sijui Gavi,Pedri etc. ndio vinaifanya Barca mpaka sasa icheze europa ndio utegemee vikupe worldcup
 
Wenyewe hawataki wewe mbona mbishi? Wamisri, algeria, libya, tunisia na sudan kaskazini wanalalamika wamelazimishwa kuitwa waafrika wanataka mipaka ibadilishwe. Ni dunia tu ndo inawabania agenda yao isiende mbele kama wazanzibar wanavonyimwa kuwa napasspport yao na timu ya taifa inayotambulika na fifa.
Sudan Kaskazini, duh kuwa serious mzee
 
Back
Top Bottom