Bado pale Epl sijaona zile fujo za Viungo wa kati kama zile za Viera wa Arsenal na Keane wa Man utd hawa majamaa kila wakutano ulikua n mpira wa shoka haswa eneo la kati.
Kati ya mmoja wao kula umeme ilikua ni kitu cha kawaida hawa viungo wa sasa wanacheza Soft football sana hawa mafundi walikua wamekamilika kila idara za kuitwa viungo wakabaji.
Mchezo wa kesho zitakapokutana hizi timu mbili bado nategemea eneo la kiungo liamue matokeo ya hii game atakayewin eneo la kati ndo atakayeshinda.
Kwa kifupi nini tatizo tena wasitokee wachezaji wa kariba ile tunaona leo viungo wakabaji wenye mapafu ya mbwa hakuna tena,Makelele,Ballack,Viera,Roy keane tunaona viungo wakicheza mpira laini sana,ozil,Xhaka,Ramsey,bora hata Ngolo Kante.Endelea kuwasubiri kila zama zake
Umemshuhudia Gennaro gatuso akicheza wewe?wale walikua ni viungo wanaojua kutimiza wajibu wao na sio fujo wala ngumi.Unataka uone mpira au fujo na ngumi?
Ulishawahi ona tuzo ya utukutu?
Akienda pembeni anakutana na Cafu, Rooney na Stam.hatariiiihatariiiii duu gattuso yaani christian ronaldo baada ya kuona ubaunsa wa gattuso ilibidi atembee tu uwanjani maana hawezi kumiliki wala kupiga mbele ya gwiji gatu
Siku hizi kuna teknolojia kwahiyo hata usiku wataona tuSiku hizi mechi za Arsenal na Manutd ni mechi za kawaida sana. Ndio maana zinachezwa usiku. Enzi zile mechi hizi lazima ichezwe mchana kweupe. England mara nyingi mechi ambazo ni kali na zina upinzani mkali hadi kwa mashabiki huchezwa mchana kweupee ili polisi waweze ona matukio vizuri.
Enzi hizo matukio yalikuwa ni ON na OFF the pitch.
Kuna mechi zinachezwa mchana kutokana na aina ya mashabiki kama Liverpool na everton game inapigwa mchana ili kuzuia fujo za mashabiki maana asilimia kubwa ya mashabiki ni chapombe.Siku hizi kuna teknolojia kwahiyo hata usiku wataona tu