bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,679
Bado pale Epl sijaona zile fujo za Viungo wa kati kama zile za Viera wa Arsenal na Keane wa Man utd hawa majamaa kila wakutano ulikua n mpira wa shoka haswa eneo la kati.
Kati ya mmoja wao kula umeme ilikua ni kitu cha kawaida hawa viungo wa sasa wanacheza Soft football sana hawa mafundi walikua wamekamilika kila idara za kuitwa viungo wakabaji.
Mchezo wa kesho zitakapokutana hizi timu mbili bado nategemea eneo la kiungo liamue matokeo ya hii game atakayewin eneo la kati ndo atakayeshinda.
Kati ya mmoja wao kula umeme ilikua ni kitu cha kawaida hawa viungo wa sasa wanacheza Soft football sana hawa mafundi walikua wamekamilika kila idara za kuitwa viungo wakabaji.
Mchezo wa kesho zitakapokutana hizi timu mbili bado nategemea eneo la kiungo liamue matokeo ya hii game atakayewin eneo la kati ndo atakayeshinda.