Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,658
- 15,793
Being a single mother and at her age of 29, she doesn't have much of a choice.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeongea kama watu mia aisee.. nigujua jinsia yako nigesema japoKazi ya mwanamke ni kum-shape mwanaume kitabia. Sasa huyo dada aako kama hajitambui itakula kwake. Mwambie aache kuolewa aone ilivyo ngumu kupata mmchumba nowdays..
MaleUmeongea kama watu mia aisee.. nigujua jinsia yako nigesema japo
Kwa kweli maana kwa sasa ni mchumba na mke sasa iweje aweke future ila akiwa mke ataweka futureAkishamtolea mahari, ataanza kumuhudumia...awe na subira tu.
Kaongea pumbaMwenye uzi kaukimbia tena
Wanawake huwa wanakuwa na akilinya ajabu sanaPesa anazotaka kwa huyo jamaa kwani ni zake??
Upuuzi mtupu..mapenzi yamekuwa biashara..na unaweza kukuta huyo binti anakazi na mshahara na hana wategemezi wengi kama mwanaume anavyokuwa nao..Wanawake huwa wanakuwa na akilinya ajabu sana
Ameumia kuona mil. 10yote inaenda kwa mwanaume... mi naamini sio kwamba huwa hampi ila sio kwa kiwango anachofikilia yeye huyo dadaUpuuzi mtupu..mapenzi yamekuwa biashara..na unaweza kukuta huyo binti anakazi na mshahara na hana wategemezi wengi kama mwanaume anavyokuwa nao..
Kwann unamsingizia shosti wako?? Si useme tu ni wewe?Ushauri plz
naituma kama nilivyopokea bint anaitaji ushauri bado Siku 3 tu afanye uamuzi wa maisha yake,,,,
Dada ana 29yrs anamtoto 1 alizaa na mwanaume ila alishafariki
2017,, alikutana na mkaka wakaanza mahusiano ya mapenz mpaka kufikia uchumba. lkn kipindi chote hicho bidada analalamika tu mpenz wake uyo mbahir hamjal bidada lkn bidada amekua anavumilia akiamini jamaa anaweza badilika wameenda wee mpaka jmos hii nisiku ya kutoa mahari sasa bint anawaza afanyeje? Kinachomuwazisha hint ni hiki
1) jamaaa hata kipata million 10 sasa hv cha kwanza atakachowaza anunue kipi apeleke kwao sio kwa ajir yake mwanaume au kwa ajir yao
2) wamekua wakipanga wanunue vitu kadhaa kwa ajir yao kama kununua furniture , vitu mbalimbali wanapanga vizuri lkn Sikh ikifika jamaa hela anapeleka kwao
3) jamaa nimpole, sio mgomvi,,, kwa wanawake hayumo tatizo hana future yake yeye na mkewe mtarajiwa yeye anafuture na kutengeneza kwao
Binafsi nimemshauri apambane tu kikubwa kwa vile bidada nae anakikaz chake angalau kinamwingizia hela kidogo aaachane na hela za jamaa akae nae akiona miaka inaenda hakuna maendeleo aondoke
Sijui nyie wadau mnaonaje!!
Alitaka jamaa awekeze kwa mwanamke ambaye si mkewe?.. ili aje kujilipua kichwa kama ndugu zetu fulani.. akatae mapema jamaa ajichange sehemu nyingine this life is too short kutiana stress uchwara...Ushauri plz
naituma kama nilivyopokea bint anaitaji ushauri bado Siku 3 tu afanye uamuzi wa maisha yake,,,,
Dada ana 29yrs anamtoto 1 alizaa na mwanaume ila alishafariki
2017,, alikutana na mkaka wakaanza mahusiano ya mapenz mpaka kufikia uchumba. lkn kipindi chote hicho bidada analalamika tu mpenz wake uyo mbahir hamjal bidada lkn bidada amekua anavumilia akiamini jamaa anaweza badilika wameenda wee mpaka jmos hii nisiku ya kutoa mahari sasa bint anawaza afanyeje? Kinachomuwazisha hint ni hiki
1) jamaaa hata kipata million 10 sasa hv cha kwanza atakachowaza anunue kipi apeleke kwao sio kwa ajir yake mwanaume au kwa ajir yao
2) wamekua wakipanga wanunue vitu kadhaa kwa ajir yao kama kununua furniture , vitu mbalimbali wanapanga vizuri lkn Sikh ikifika jamaa hela anapeleka kwao
3) jamaa nimpole, sio mgomvi,,, kwa wanawake hayumo tatizo hana future yake yeye na mkewe mtarajiwa yeye anafuture na kutengeneza kwao
Binafsi nimemshauri apambane tu kikubwa kwa vile bidada nae anakikaz chake angalau kinamwingizia hela kidogo aaachane na hela za jamaa akae nae akiona miaka inaenda hakuna maendeleo aondoke
Sijui nyie wadau mnaonaje!!
Ni kweli kabisa,tena wakishapata na watoto basi huyo mume lazima atabadili gia angani na kuanza kushughulika na mkewe na watoto wao,ila pia asisahau kwao,kwani bila wazazi wake basi hata huyo mke mtarajiwa asingemuona huyu jamaa.Akishamtolea mahari, ataanza kumuhudumia...awe na subira tu.
Possibly nami nawaza hivi mkuu, awe mpole tu kwa muda.Akishamtolea mahari, ataanza kumuhudumia...awe na subira tu.
Mwanaume ambaye hata future yake haingalii zaidi ya kwao?Kifupi tu, shosti yako anataka apewe hela!
Mwambie awe makini, siku si nyingi atahama kutoka kwenye single mother mpaka kua a single mother of two or three!