Bado siku 3 mahari itoke nipo njia panda

Bado siku 3 mahari itoke nipo njia panda

Kazi ya mwanamke ni kum-shape mwanaume kitabia. Sasa huyo dada aako kama hajitambui itakula kwake. Mwambie aache kuolewa aone ilivyo ngumu kupata mmchumba nowdays..
Umeongea kama watu mia aisee.. nigujua jinsia yako nigesema japo
 
Upuuzi mtupu..mapenzi yamekuwa biashara..na unaweza kukuta huyo binti anakazi na mshahara na hana wategemezi wengi kama mwanaume anavyokuwa nao..
Ameumia kuona mil. 10yote inaenda kwa mwanaume... mi naamini sio kwamba huwa hampi ila sio kwa kiwango anachofikilia yeye huyo dada
 
Ushauri plz
naituma kama nilivyopokea bint anaitaji ushauri bado Siku 3 tu afanye uamuzi wa maisha yake,,,,
Dada ana 29yrs anamtoto 1 alizaa na mwanaume ila alishafariki
2017,, alikutana na mkaka wakaanza mahusiano ya mapenz mpaka kufikia uchumba. lkn kipindi chote hicho bidada analalamika tu mpenz wake uyo mbahir hamjal bidada lkn bidada amekua anavumilia akiamini jamaa anaweza badilika wameenda wee mpaka jmos hii nisiku ya kutoa mahari sasa bint anawaza afanyeje? Kinachomuwazisha hint ni hiki
1) jamaaa hata kipata million 10 sasa hv cha kwanza atakachowaza anunue kipi apeleke kwao sio kwa ajir yake mwanaume au kwa ajir yao
2) wamekua wakipanga wanunue vitu kadhaa kwa ajir yao kama kununua furniture , vitu mbalimbali wanapanga vizuri lkn Sikh ikifika jamaa hela anapeleka kwao

3) jamaa nimpole, sio mgomvi,,, kwa wanawake hayumo tatizo hana future yake yeye na mkewe mtarajiwa yeye anafuture na kutengeneza kwao

Binafsi nimemshauri apambane tu kikubwa kwa vile bidada nae anakikaz chake angalau kinamwingizia hela kidogo aaachane na hela za jamaa akae nae akiona miaka inaenda hakuna maendeleo aondoke
Sijui nyie wadau mnaonaje!!
Kwann unamsingizia shosti wako?? Si useme tu ni wewe?

BTW wanawake nani kawaloga?
 
Huyo mwanamke pesa zake anafanyia nini?Amewekeza kwenye future yao?Uwekezaji kwenye future ya familia sio wa mtu m1.
 
Ushauri plz
naituma kama nilivyopokea bint anaitaji ushauri bado Siku 3 tu afanye uamuzi wa maisha yake,,,,
Dada ana 29yrs anamtoto 1 alizaa na mwanaume ila alishafariki
2017,, alikutana na mkaka wakaanza mahusiano ya mapenz mpaka kufikia uchumba. lkn kipindi chote hicho bidada analalamika tu mpenz wake uyo mbahir hamjal bidada lkn bidada amekua anavumilia akiamini jamaa anaweza badilika wameenda wee mpaka jmos hii nisiku ya kutoa mahari sasa bint anawaza afanyeje? Kinachomuwazisha hint ni hiki
1) jamaaa hata kipata million 10 sasa hv cha kwanza atakachowaza anunue kipi apeleke kwao sio kwa ajir yake mwanaume au kwa ajir yao
2) wamekua wakipanga wanunue vitu kadhaa kwa ajir yao kama kununua furniture , vitu mbalimbali wanapanga vizuri lkn Sikh ikifika jamaa hela anapeleka kwao

3) jamaa nimpole, sio mgomvi,,, kwa wanawake hayumo tatizo hana future yake yeye na mkewe mtarajiwa yeye anafuture na kutengeneza kwao

Binafsi nimemshauri apambane tu kikubwa kwa vile bidada nae anakikaz chake angalau kinamwingizia hela kidogo aaachane na hela za jamaa akae nae akiona miaka inaenda hakuna maendeleo aondoke
Sijui nyie wadau mnaonaje!!
Alitaka jamaa awekeze kwa mwanamke ambaye si mkewe?.. ili aje kujilipua kichwa kama ndugu zetu fulani.. akatae mapema jamaa ajichange sehemu nyingine this life is too short kutiana stress uchwara...
AFTER THE BREAK UP itamcost kama miaka mitano kupata mwanaume atakayevumilia mwanamke mwenye mtoto, aliyegonga 29 na muda wa kuaminiana na kumuelewa bailojia.. AKIJA KUSTUKA 34 na hapo aombee mambo yaclick...
 
Akishamtolea mahari, ataanza kumuhudumia...awe na subira tu.
Ni kweli kabisa,tena wakishapata na watoto basi huyo mume lazima atabadili gia angani na kuanza kushughulika na mkewe na watoto wao,ila pia asisahau kwao,kwani bila wazazi wake basi hata huyo mke mtarajiwa asingemuona huyu jamaa.
 
Kifupi tu, shosti yako anataka apewe hela!

Mwambie awe makini, siku si nyingi atahama kutoka kwenye single mother mpaka kua a single mother of two or three!
Mwanaume ambaye hata future yake haingalii zaidi ya kwao?

Hapana mtu wa hivyo atamsumbua, ajiandae kuhudumia familia yaani mwanamke ndiyo atasimama kama baba kimajukumu ikitokea wameoana.
 
Back
Top Bottom