Bado sina NDOA.....

Bado sina NDOA.....

Kowan

Member
Joined
Mar 15, 2011
Posts
62
Reaction score
1
Mabibi na mabwana iviii haiwezekani mie kumpata mwenza toka eneo hili..... maaana nakutana na picha za wadada warembo wakichangia mada zao.......kuna sura nyingi nimevutiwa nazo... I LURV U ALL..WAMAMA.... ILA LAZIMA AWE MWALIMU WA PRIMARY.....
 
Weka sura yako watakuPM,ila usije ukawa hujui kutongoza.You take time to hit the heart of the matter! (Unaenda Tanga unazungukia Znz, yet kuna short cut)
 
Mabibi na mabwana iviii haiwezekani mie kumpata mwenza toka eneo hili..... maaana nakutana na picha za wadada warembo wakichangia mada zao.......kuna sura nyingi nimevutiwa nazo... I LURV U ALL..WAMAMA.... ILA LAZIMA AWE MWALIMU WA PRIMARY.....



m here
nafundisha hisabati darasa la tatu na 4
nipo tayar kuwa mke wako.
 
mimi mwalimu wa vidudu ila nataka nijiendeleze nifundishe primary. Nakubalika?
 
hahahahhhahah mwalimu wa primary,hilo nalo neno
 
with that beautiful BLINK... naogopa.. sintakua peke yangu



acah uoga wewee
ntakutunzia mali zako
u wl b da one n only

usinbague kwa kublik kwangu ndo majaalia ayo
 
Umeona sura za warembo, mimi nafundisha kyuti ntapata namba?
 
Mabibi na mabwana iviii haiwezekani mie kumpata mwenza toka eneo hili..... maaana nakutana na picha za wadada warembo wakichangia mada zao.......kuna sura nyingi nimevutiwa nazo... I LURV U ALL..WAMAMA.... ILA LAZIMA AWE MWALIMU WA PRIMARY.....

Great Choice.
 
Weka sura yako watakuPM,ila usije ukawa hujui kutongoza.You take time to hit the heart of the matter! (Unaenda Tanga unazungukia Znz, yet kuna short cut)

ku PM ndo nin... umeniacha kidogo
 
Back
Top Bottom