Bado Trilioni 3 Tu TRA (Tzn) Kuipita KRA (Ken) Makusanyo ya Kodi. Kishindo Cha Tanzania ya Samia Kitapeleka vilio Kwenye Uchaguzi wao 2027

Hakuna mtu atake inua maisha yako binafsi ukiona kodi inakusanywa kubwa ujue shughuli za uzalishaji Mali na biashara zimeimarika na maisha ya watu yameimarika
 
Matumizi ya makubwa ya serikali ya hovyo, ununuzi wa magari ya viongozi, wizi unaosemwa kwenye ripoti ya CAG.
Wewe badala ya kusifia wanaolipa Kodi unasifia rais. Mna shida ya uelewa.
Ununuzi wa Magari ndio matumizi ya hovyo?

Ripoti za CAG zikitolewa Serikali Huwa inachukua hatua Kwa wahusika na elewa mantiki ya taarifa ya CAG.

Hakuna mlipakodi anapenda kulipa Kodi Kwa hiari ni wajibu wa.lazima.kisheria hata Mimi sipendi kulipa.kodi.na nikipata mwanya nakwepa so mkusanyaji.ndio tunampa maua yake.

View: https://www.instagram.com/p/DFMwMnPiUfA/?igsh=MXU1NmE2OGNlOTFjdw==
 
Toka shetani
 
Sasa na wao si watakuwa wapo mbele zaidi ili tuwafikie maana yake wawe static mapato yao yasibadilike kwa miaka hiyo mitatu mfululizo ni jambo ngumu.
May be kuwafikia ni after 7 to 9 years..
Growth rates ya Mapato Yao ni ndogo kuliko ya kwetu.Nimekwambia mwaka 2021 gap ilikuwa Trilioni 7 lakini Leo hii ni hiyo 3.5.

Pia nimekutajia Baadhi ya miradi michache tuu ambayo inaenda kuingiza hela,Kenya hawana mradi wowote wa maana.

View: https://www.instagram.com/p/DFM9QpttOtX/?igsh=MWw3bzB2OTQzZm50eg==
 
Hahahaha! Nimecheka sana. Kwa hiyo uchaguzi umekuwa 2027 tayari?
 
Hahahaha! Nimecheka sana. Kwa hiyo uchaguzi umekuwa 2027 tayari?
Uchaguzi wa Ruto ,lazima mama atamharibia Kwa kumpita na itakuwa fimbo ya kumtandikia Kisiasa.

Moja ya kete kubwa ya CCM mwaka 2030 ni Kuipita Kenya Kiuchumi
 
zingatia sana buku ya kenya ukiileta hapa bongo sio buku tena
Iyo iyo thamani ya buku ya Kenya kazi unayofanya kazi Kenya unalipwa iyo buku ni sawa na thamani ya kazi yake hapa nchini. Kwani hujaona wao wamekusanya trilioni 1.06 ya kwao sie trilioni 16.7 ,
Yaani mwalimu wa Kenya analipwa 35-45k ya kikenya huku analipwaje, hela ya kitanzania anayolipwa ukiibadilisha kwa Kenya ni sawa na hela yao, sio kuwa atalipwa laki nane za kikenya Mana tz alikuwa analipwa hizo, akienda huko analipwa hela ambayo ni sawa na hizi hizi za kwetu.
 
Hapa naona wengi wanaompinga mtoa mada hawana hoja wamejawa na chuki tu (Pinga Pinga)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…