ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #81
Wakisikia tuu jina Samia tayari wanashikwa na haja vinyeo vinawawasha ππHapa naona wengi wanaompinga mtoa mada hawana hoja wamejawa na chuki tu (Pinga Pinga)
Unaweza kupinga kazi za Samia? Huu mradi ulikuwa umekufa Toka awamu ya JK, Mwendazake hakuna alichofanya lakini mama ni shangwe tupu.
Basi hilo ndilo neno sasa, mbwe mbwe zote zinaishia kwenye matumizi yasio weza kuhojika wala kuhesabika yametumikaje, mtihani mkubwa sana huu kwakweli.Shida kubwa ipo kwenye matumizi ya hizo kodi!
Uko sawa kabisa ufujaji unaendelea kama ifuatavyo ππHayo Makusanyo hata yakiwa zaidi ya dunia nzima yana faida gani huku Kitaa, zaidi ya kuona wafujaji, watu wananunua magari ya Chama wakati watu hawana Ambulance na bado bakuli linatembezwa kama Kawa....
Iwapo tunapunguza Utoaji Huduma (kubinafsisha); kwanini Kodi hazipungui? Je, tunaongeza kumbana Mwananchi ili kutoa (huduma) gani?
Kodi ni muhimu sana ili kufadhili shughuli za serikali, huduma kwa umma kama vile barabara na mashule, Usalama wa Jamii, Afya na Mengineyo. Sasa kama hata hayo kuanzia Elimu (Mikopo na Shule Binafsi); Afya tuna BIMA ya Afya na kulipia Private; Kuhakikisha wafanyakazi wanalipwa ujira stahiki...www.jamiiforums.com
Ustawi wa Jamii; A Penny Saved is a Penny Earned; Serikali inaweza Kumpunguzia Mzigo wa Matumizi Mwananchi hivyo Kumwongezea Kipato cha Kutumia
Maadui wetu hawajawahi Kubadilika Umasikini, Ujinga na Maradhi..., Vilevile Mahitahi Muhimu ya Binadamu hayabadilika (Chakula Malazi na Mavazi); Karne ya sasa ambayo sio kila mtu anaweza kuchukua Jembe na kwenda kulima mihogo na kupata kitoweo Pesa inahitajika. Hii ndio itakupatia mahitaji...www.jamiiforums.com
Swali kwa Serikali; Mwananchi ni Mwenye Nchi, Nguvu Kazi au Kitega Uchumi (Chanzo cha Mapato) ?
Nimeona niulize haya sababu kinachoendelea inabidi ukiangalie kwa macho yako na sio kusikiliza kinachosemwa.... Sababu Siasa zishakuwa Ulaghai; https://www.jamiiforums.com/threads/siasa-mamboleo-mdomo-unapojaribu-kulidanganya-sikio.2123568/ Je Mwananchi ni Mwenye Nchi ? Sidhani, huyu jamaa...www.jamiiforums.com
Kodi za Mapato: Kabla hatujawaza kuzidi kukamuana, tuangalie kuziba Pakacha
Kuna Notion kwamba Watu hawalipi Kodi, na bila kuongeza vyanzo kwa kuwakamua zaidi Nchi haiwezi kuendelea... Kwanza kabisa sio kweli kwamba watu hawalipi Kodi; kila mtu analipa Kodi indirectly na kutokana na vyanzo vyetu na Tozo tunaweza kuendesha nchi hata bila Kodi ya Mapato; Nikitoa...www.jamiiforums.com
Matumizi gani ambayo wewe unayajua hayahojiki? Matumizi nayofahamu Mimi ni ya msingi ya kuleta maendeleo Kwa watu kama haya ππBasi hilo ndilo neno sasa, mbwe mbwe zote zinaishia kwenye matumizi yasio weza kuhojika wala kuhesabika yametumikaje, mtihani mkubwa sana huu kwakweli.
Hivi ni Upeo wako ndio mfupi au umeamua kufumba macho ? Kwahio hayo makusanyo ndio yanajenga hio barabara ? Na kila siku tunavyoambiwa hii Miradi itumie PPPs ? Yaani ni kwamba sasa hivi Makusanyo yameongezeka kwa hali ya juu (watu wamekuwa wengi na teknolojia ya kukusanya) Yet Huduma per unit imepungua balaa wengine hata maiti zao kushikiliwa sababu ya kukosa pesa za kulipia matibabu (na hata wangelipa ni BIMA na sio Serikali), By the way hio Miradi kwanini tunakwenda kukopa pesa eti ya RIBA nafuu wakati tungeweza kutumia Pesa ya ndani (kukopa wananchi kwa kutengeneza pesa na pesa hio kulipwa na wananchi baadae)...Uko sawa kabisa ufujaji unaendelea kama ifuatavyo ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFIHXVIts1B/?igsh=MXV3NmFidDRtOGIydQ==
Ni kweli kabisa na Mimi nakubalina na wewe kwamba makusanyo hmyaliyoongezeka hayalipii chochote yanaliwa ndio maana unaona haya uanatokea ππππHivi ni Upeo wako ndio mfupi au umeamua kufumba macho ? Kwahio hayo makusanyo ndio yanajenga hio barabara ? Na kila siku tunavyoambiwa hii Miradi itumie PPPs ? Yaani ni kwamba sasa hivi Makusanyo yameongezeka kwa hali ya juu (watu wamekuwa wengi na teknolojia ya kukusanya) Yet Huduma per unit imepungua balaa wengine hata maiti zao kushikiliwa sababu ya kukosa pesa za kulipia matibabu (na hata wangelipa ni BIMA na sio Serikali), By the way hio Miradi kwanini tunakwenda kukopa pesa eti ya RIBA nafuu wakati tungeweza kutumia Pesa ya ndani (kukopa wananchi kwa kutengeneza pesa na pesa hio kulipwa na wananchi baadae)...
Kwanini Serikali Ikope Kuendesha Miradi, Wakati inaweza Kutengeneza Pesa ?
Kabla hatujaitana vichaa, kwanza kabisa tukubaliane kwamba ndicho kinachotokea sasa hivi duniani (creating money from thin Air) ingawa ni Benki ndio zinafanya hivyo... Pesa inavyotengezwa na kuongezwa kwenye Mzunguko na Benki Wewe ukienda kuomba mkopo Benki unapewa pesa ambayo Benki haina wala...www.jamiiforums.com
Samia ameleta golden chance akitoka wanakuja wale wanaopora hela za watu na ku paralyze uchumi huku wakidanganya wajinga na wajinga wanashangilia.Vijijini nyumba za kudumu zinajengwa kwa kasi. Mijini ndio usiseme. Sasa utashangaa wanaolalamika ni wakina Nani na hawa wanaokesha kubishana ramani za majumba ya kisasa ni wakina Nani. Wakati mwingine tuhimizane kufanya kazi. Sharing yenu. Nyie shindeni kwenye vijiwe za kahawa na kuwajadili wanasiasa kila wakati. Itakula kwenu. Hii ni transition period akaepata atakuwa amepata na atakaekosa ajiandae yeye na vizazi vyake kuwa wabangaizaji forever. Hivi ushawahi kujiuliza kule kijijini kwako ulipotoka, wakati hujatoka upatikanaji wa ardhi ya kilimo na makazi ulikuwaje, na Leo upoje, na vipi miaka kumi ijayo hali itakuwaje.
Kama we were hujaweza kununua adhri kwa milioni moja mwaka huu, je mwanao Yule wa chekechea atakapo kuwa mtu mzima ataweza? Au atakuwa manamba mwenye masters kwenye shamba la tajiri wa darasa la Saba?
Jitafakarini, wakati haupo mkononi kwako.
Hizo barabara za TARURA ni percent ngapi imetoka kwenye mfuko wa TRA na ngapi zimetoka kwenye makusanyo mengine mfano (Parking n.k.)Ni kweli kabisa na Mimi nakubalina na wewe kwamba makusanyo hmyaliyoongezeka hayalipii chochote yanaliwa ndio maana unaona haya uanatokea ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DEhiemjN_hb/?igsh=YWtodzIwdTR0azRz
Mimi ni nani Hadi nikubishie hakuna kitu kinafanyika na hizo pesa ndio maana Barabara zinajengwa Kwa hela inayoletwa na mvua ππππ
View: https://www.instagram.com/p/DEc2W7TtoJ2/?igsh=MXdrbmx6MHo4bHFzZA==
Kwa taarifa Yako hakuna Barabara hata Moja ambayo inajengwa Kwa PPP model,umbulula unakusumbua.Hizo barabara za TARURA ni percent ngapi imetoka kwenye mfuko wa TRA na ngapi zimetoka kwenye makusanyo mengine mfano (Parking n.k.)
Ndio maana ninakwambia shida yako ni kuangalia mambo kwa mafungu mafungu..., na iwapo barabara nyingi na dhima ya Serikali ni kuendesha / kujenga barabara kwa PPPs it means hata pesa / fungu linalotakiwa kutoka Serikalini (Kodi) sio kubwa kama otherwise..., now if that is the case kwanini makamuzi yanazidi ? Where is Value for Money ?!!!
Hawa hapa π πWanawakusanyia kina nani kwani
Uchumi wa Bongo unakua kwa mafisadi tuπ walalahoi wanakufa kwa kukosa laki na hamsini ya matibabu.Ukuaji wa uchumi uendane na ustawi wa maisha ya watu.
Ustawi wa maisha ya watu unabeba vitu vingi.
1. Vipato vya mtu mmoja mmoja.
2. Utoaji wa elimu Bora.
3. Ujenzi wa makazi Bora.
4. Ujenzi wa miundo mbinu Bora.
5. Ardhi na viwanja vilivyopimwa.
6. Uwepo wa ajira.
7. Uzarishaji wa bidhaa na sio uchuuzi.
8. Huduma Bora za Afya.
9. Jamii ya watu yenye uelewa na kujitambua.
10. nk.
Uko sahihi kabisa mafisadi wenyewe ndio Hawa hapa Sasa ππUchumi wa Bongo unakua kwa mafisadi tuπ walalahoi wanakufa kwa kukosa laki na hamsini ya matibabu.
Kwahio Dalali Kafulila kila siku anavyoleta hizi hadithi za PPPs ni Hadithi tu ? Au zitaanza lini na Kodi itapungua lini ?; Na kwahio PPPs inafaa kwenye Mabweni na UMEME wetu na TEMESA kwanini huku ambapo kuna uhitaji wasifanye hao ? Au PPPs haikubaliki kwenye Barabara ?Kwa taarifa Yako hakuna Barabara hata Moja ambayo inajengwa Kwa PPP model,umbulula unakusumbua.
Sasa bila kujua percent imetoka wapi na ngapi unawezaje kusema Matumizi yako yametumika vizuri wakati hayo mengine ni kwa Mikopo ambayo ni wajukuu zako ndio watalipa ? Hivi naongea na mtu mwenye ufahamu na fikra au ROBOT / AI ambayo inafanya ku copy na kupaste bila kushirikisha reasoning yoyote ?Kwani hoja ni percent au matumizi ya Kodi? Haya nahamia kwenye maji naona kwenye Barabara hutaki ππ
Na unaongelea maji bila aibu wakati kuna watu sehemu kama Mwanza ziwa wanaliona lile pale na bado mabomba yameota kutu na maji kwao kuyaona ni kama miracle ?!!! Na unajua misaada mingapi na pesa ngapi nchi hii inapokea kwenda kwenye sekta ya Maji ?Ufujaji unaendelea huku Bukoba π€£π€£ππ
View: https://www.instagram.com/p/DFMzNMUttXr/?igsh=ZnZvYTJrbThsZmdl
Ya hovyo hovyo.Matumizi yamefanya nini?
Kimsingi huna akili, Serikali Bado haipata wawekezaji wa Barabara za PPP.Kwahio Dalali Kafulila kila siku anavyoleta hizi hadithi za PPPs ni Hadithi tu ? Au zitaanza lini na Kodi itapungua lini ?; Na kwahio PPPs inafaa kwenye Mabweni na UMEME wetu na TEMESA kwanini huku ambapo kuna uhitaji wasifanye hao ? Au PPPs haikubaliki kwenye Barabara ?
Sasa bila kujua percent imetoka wapi na ngapi unawezaje kusema Matumizi yako yametumika vizuri wakati hayo mengine ni kwa Mikopo ambayo ni wajukuu zako ndio watalipa ? Hivi naongea na mtu mwenye ufahamu na fikra au ROBOT / AI ambayo inafanya ku copy na kupaste bila kushirikisha reasoning yoyote ?
Na unaongelea maji bila aibu wakati kuna watu sehemu kama Mwanza ziwa wanaliona lile pale na bado mabomba yameota kutu na maji kwao kuyaona ni kama miracle ?!!! Na unajua misaada mingapi na pesa ngapi nchi hii inapokea kwenda kwenye sekta ya Maji ?
Kwa ufupi tu ngoja nifanye simplification ili hata wewe uweze kuelewa...; Leo mtu ambaye anatoa kingi kuliko hapo kabla (kila akinunua anakatwa kodi, akituma muamala anakatwa, akiongea na simu anakatwa, akiingia income anakatwa) Mtu huyu bado kila huduma anayotapa bado analipia (Makazi, Mavazi na hata Elimu) ambapo hawa walamba asali waliopo hapo juu waliweza kupata hivyo kama huduma (Elimu na Afya) wakati makusanyo yalikuwa madogo kuliko haya na wala kulikuwa hakuna teknolojia ya ukusanyaji wenye ufanisi kama huu....
Na kwa kukuongezea kama Corruption ikiondoka Tanzania na Afrika kwa ujumla haitahitaji hata senti moja kutoka nje..., na mpaka dakika hii na hata kabla wealthy has been moving from Africa to Developed Countries...
View attachment 3212475
Mkuu nilitaka nimjibu hivo umeniwahi.Shida kubwa ipo kwenye matumizi ya hizo kodi!