Bado unayo nafasi

Jibu hoja zangu usitake kunivisha gunia la unafiki.
Nimemkufuru Mungu wapi zaidi ya kuhitaji ufafanuzi wa yale anayopambwa kwayo? Hakuwezekani kuwepo na Mungu wa namna hiyo hata kwa sekunde moja
 
Jibu hoja zangu usitake kunivisha gunia la unafiki.
Nimemkufuru Mungu wapi zaidi ya kuhitaji ufafanuzi wa yale anayopambwa kwayo? Hakuwezekani kuwepo na Mungu wa namna hiyo hata kwa sekunde moja
Kwahiyo wewe ulijiumba?
 
Nataka unijibu "Ndiyo "au "hapana"
Kwanini unataka kunipangia jibu la kukupa?
Narudia tena kusema mimi sikuumbwa nilizaliwa.
Tangu nimekujibu na kukuuliza kama uliumbwa tofauti na sisi tuliozaliwa hujanibu ila naona unakazania nikupe jibu unalopenda wewe
 
Asante Dada kwa ujumbe mzuri.
 
Kwanini unataka kunipangia jibu la kukupa?
Narudia tena kusema mimi sikuumbwa nilizaliwa.
Tangu nimekujibu na kukuuliza kama uliumbwa tofauti na sisi tuliozaliwa hujanibu ila naona unakazania nikupe jibu unalopenda wewe
Nimeuliza wewe ni kiumbe??
Jibu Ndiyo au hapana..mbona rahisi Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…