Joselela
JF-Expert Member
- Jan 24, 2017
- 6,109
- 8,080
Ahsante, ningependa tupate dinner pamoja siku ya leo.Karibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahsante, ningependa tupate dinner pamoja siku ya leo.Karibu
HahahaAhsante, ningependa tupate dinner pamoja siku ya leo.
Jibu hoja zangu usitake kunivisha gunia la unafiki.Aiseee[emoji134]
Mkuu unafika hatua ya kumkufuru Mungu namna hiyo??
Uzuri ni kwamba mawazo ya Mungu si kama mawazo ya binadamu.
Kwa hiyo usitake Mungu afanye vile unavyotaka wewe.
Yeye Anasema si mwanadamu hata aseme uongo..
Cha muhimu ni wewe kufuata kanuni na maagizo yake
Kwahiyo wewe ulijiumba?Jibu hoja zangu usitake kunivisha gunia la unafiki.
Nimemkufuru Mungu wapi zaidi ya kuhitaji ufafanuzi wa yale anayopambwa kwayo? Hakuwezekani kuwepo na Mungu wa namna hiyo hata kwa sekunde moja
Mimi nilizaliwa. Wewe uliumbwa?Kwahiyo wewe ulijiumba?
Your mother land.Hahaha
Akhsante mkuu.
Uko mkoa gani?
Your mother land.
Kwahiyo wewe si kiumbe?Mimi nilizaliwa. Wewe uliumbwa?
Mimi sikuumbwa nilizaliwaKwahiyo wewe si kiumbe?
Nataka unijibu "Ndiyo "au "hapana"Mimi sikuumbwa nilizaliwa
Kwanini unataka kunipangia jibu la kukupa?Nataka unijibu "Ndiyo "au "hapana"
Asante Dada kwa ujumbe mzuri.Habari
Najua unapitishwa katika magumu,mazito na maumivu ni makali hayastahimiliki..
Lakini nakuomba mno usivunjike moyo.
Usiwaze kunywa sumu
Kunywa sumu si suluhisho,wapo watu wengi sana nyuma yako wanakutegemea.
Kunywa sumu hakutatatua Shida unazopitia.
Usiwaze kuacha kufanya
Inawezekana kabisa umeshajaribu mara nyingi kufanya lakini umejikuta umeishia kushindwa.
Usiache kujaribu tena..ipo siku utaweza.
Usiwaze kufunga biashara
Hata kama wateja hawaonekani na kila siku unaishia kupata hasara.
Ukiwatazama wenzio wanaofanya biashara Kama yako wanafanikiwa lakini kwako ni tofauti...Ipo siku utafanikiwa.
Usiende kwa mganga,usikubali kabisa shetani akakudanganya,Endelea kumuomba Mungu naye atatenda.
Bado lipo tumaini,bado unayo nafasi,Mungu analo kusudi na Wewe.
-Unayo nafasi ya kurekebisha makosa yako.
-Unayo nafasi ya kujipanga upya.
-Bado unayo nafasi ya kufanya vizuri zaidi.
Mungu amekuamini kwamba unaweza na Ndiyo maana bado Amekupa huo uzima.
Usikubali kuishia njiani,
Hakikisha unafanya zaidi ya ulivyofanya Jana.
Be blessed
Nimeuliza wewe ni kiumbe??Kwanini unataka kunipangia jibu la kukupa?
Narudia tena kusema mimi sikuumbwa nilizaliwa.
Tangu nimekujibu na kukuuliza kama uliumbwa tofauti na sisi tuliozaliwa hujanibu ila naona unakazania nikupe jibu unalopenda wewe
MUNGU anaanzia kutenda pale unapoishia weweMara nyingi mtu anapopoteza hope na kuona hana alternative nyingine ndio huwa anajikuta amepata msaada bila hata yeye kufahamu umetoka wapi!
zawadi ya uhai ni tunu tosha mengine parangana mwenyew dunianStatement fikirishi hii mkuu, kaumba watu then......
Ni sawa na mimi nipate watoto halafu siwapi matunzo.
MUNGU anaanzia kutenda pale unapoishia wewe
Amen bossPale mwisho wa akili za kibinadamu.
Ufungua njia pasipo na njia!