Bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi waliokuwa kwenye Serikali ya Magufuli

Bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi waliokuwa kwenye Serikali ya Magufuli

Habari za asubuhi Wana JF,

Mimi ni Mtanzania wa kawaida na kila siku nipo kwenye mizunguko yangu ya kawaida na wadau wangu wapiga debe, mamantilie, machinga, waosha magari na day workers na watumishi wa umma wote.

Kitu nime notice bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi walokuwa kwenye Serikali ya JPM, kila kinachofanyika sasahivi kinalinganishwa na awamu ilopita na mwisho inaonekana awamu ya Jpm kukubalika zaidi.

Tuwe tu wakweli wa nafsi zetu, Sukuma Gang ingekuwa Chama rasmi na kikapewa nafasi ya kumsimamisha mgombea Urais let's say Polepole, Bashungwa au Bashiru dhidi ya January Makamba, Ridhiwani Kikwete, Nape and or Mwigulu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi or kura za wazi, nani anatoboa?
View attachment 2443648
Tatizo je, hao Sukuma Gang wanataka tume huru?

Sukuma Gang hawana lolote zuri na hili taifa, ndio maana kipindi wakiwa na madaraka walikataa tume huru ns katiba mpya, iweje leo ziwepo ili waingie madarakani?
 
Habari za asubuhi Wana JF,

Mimi ni Mtanzania wa kawaida na kila siku nipo kwenye mizunguko yangu ya kawaida na wadau wangu wapiga debe, mamantilie, machinga, waosha magari na day workers na watumishi wa umma wote.

Kitu nime notice bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi walokuwa kwenye Serikali ya JPM, kila kinachofanyika sasahivi kinalinganishwa na awamu ilopita na mwisho inaonekana awamu ya Jpm kukubalika zaidi.

Tuwe tu wakweli wa nafsi zetu, Sukuma Gang ingekuwa Chama rasmi na kikapewa nafasi ya kumsimamisha mgombea Urais let's say Polepole, Bashungwa au Bashiru dhidi ya January Makamba, Ridhiwani Kikwete, Nape and or Mwigulu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi or kura za wazi, nani anatoboa?
View attachment 2443648
Sabaya na genge lake
 
Wanarudi
Tatizo je, hao Sukuma Gang wanataka tume huru?

Sukuma Gang hawana lolote zuri na hili taifa, ndio maana kipindi wakiwa na madaraka walikataa tume huru ns katiba mpya, iweje leo ziwepo ili waingie madarakani?

Wanarudi kule kule hadi kudai katiba mpya wakati walikuwa wanaipinga. Nje ya ccm hakuna sukuma gang.
 
Tatizo je, hao Sukuma Gang wanataka tume huru?

Sukuma Gang hawana lolote zuri na hili taifa, ndio maana kipindi wakiwa na madaraka walikataa tume huru ns katiba mpya, iweje leo ziwepo ili waingie madarakani?

1670831796768.png


Nadhani hapa mko katika kilele cha furaha yenu.
Endeleeni kulamba asali.
 
Wasukuma na sukuma gang ni majority hakuna namna wanatakiwa na wanao uwezo wa kuongoza nchi hii.

Tambua Mimi sio msukumu ila ni better kuwa na kiongozi na viongozi Toka kanda hyo ..Hawa jamaa hawana majivuno ,wachapakazi, hawapendi sifa ,ukifika mwanaza madogo wanamamilion ya pesa ila huwezi kujua na wala huko mitandaoni hawapo kabisa

Ukabila unaingia Tanzania pole pole, miaka ishirini ijayo wajukuu zangu watapiga kura kikabila. Tuache ukabila, tukianza hivi tuwaruhusu na wengine ukabila.

Halafu kwenye hayo mambo yenu ya ukabila wa kanda ziwa mkoa wa Mara utoeni kabisa.
 
Hatutaki viongozi wabaya wasiopata tuzo waje watutawale tena.
Mama tangu aingie madarakani 'kila siku analamba tuzo'...
Wale wengine tangu wameingia mpaka wametoka hawajawahi kupata hata medani ya shaba...

Baba wa Taifa aliwahi sema, ukiona mabeberu wanakuhengahenga sana. Inabidi ujiulize mara mbili mbili na kujichunguza ulipoteleza.

CC: polokwane Crimea
 
Tabia ya kutokupiga kura itaendelea kututafuna hadi pale tutakapoanza kupiga kura kwa kila raia mwenye vigezo kisheria
 
Ukabila unaingia Tanzania pole pole, miaka ishirini ijayo wajukuu zangu watapiga kura kikabila. Tuache ukabila, tukianza hivi tuwaruhusu na wengine ukabila.

Halafu kwenye hayo mambo yenu ya ukabila wa kanda ziwa mkoa wa Mara utoeni kabisa.
Nakuambia ukweli kwani Mimi ni msukuma Kuna chama fulani ni cha kikabili kidai ni upinzani ,Nan akipigie kura?
 
Wanarudi

Wanarudi kule kule hadi kudai katiba mpya wakati walikuwa wanaipinga. Nje ya ccm hakuna sukuma gang.
Sukuma Gang wala haihusiani na ukabila, Hii ni Ideology tu nadhani hata ningeweza kuwaita Hapa Kazi gang
 
Back
Top Bottom