Bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi waliokuwa kwenye Serikali ya Magufuli

Bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi waliokuwa kwenye Serikali ya Magufuli

Tatizo je, hao Sukuma Gang wanataka tume huru?

Sukuma Gang hawana lolote zuri na hili taifa, ndio maana kipindi wakiwa na madaraka walikataa tume huru ns katiba mpya, iweje leo ziwepo ili waingie madarakani?
Ila tuseme ukweli, Serikali kipindi Chao ili perform vizuri so pamoja na madhaifu kidogo ila performance yao na Serikali yao iliwaridhisha wananchi, kwa ilo huwezi danganya mtu. Alafu na Sukuma Gang wala haihusiani na ukabila ni just tu an Ideology. Tunaweka waita hata Hapa Kazi Gang kuondoa dhana ya ukabila.
 
Ila tuseme ukweli, Serikali kipindi Chao ili perform vizuri so pamoja na madhaifu kidogo ila performance yao na Serikali yao iliwaridhisha wananchi, kwa ilo huwezi danganya mtu. Alafu na Sukuma Gang wala haihusiani na ukabila ni just tu an Ideology. Tunaweka waita hata Hapa Kazi Gang kuondoa dhana ya ukabila.
Kama wana nia njema na wanakubalika na wananchi watoke huko CCM waunde chama waitoe CCM
 
Bashungwa
Bashungwa? Watu hamko serious, TAMISEMI tu ilimshinda nchi mnaichukuliaje? Hapo hakuna hata anayekaribia hiyo nafasi. Baada ya Samia labda Majaliwa. Hussein, Maisha tusijerudia makosa rais kutoka kabila kubwa hii nchi itagawanyika. Haya makabila makubwa ni wakabila sana mtajuta. Sasa hivi tu kuirudisha hii nchi pamoja kuondoa mawazo ya ukanda na ukabila yaliyoanza itachukua muda sana. watu km wamelogwa. Watu wanahesabu NEC kuna wasukuma wangapi? kanda ya ziwa wako wangapi? Mnamfahamuj aliyetufikisha hapa haya hayakuwepo kabla. Baba wa Taifa alituasa kwa nchi zetu hizi changa ni rahisi sana watu kukimbilia udini au ukabila. Tunahitahitaji rais wa kuunganisha nchi muda wote bila hata harufu ya ubaguzi kwa msingi wowote.
 
Habari za asubuhi Wana JF,

Mimi ni Mtanzania wa kawaida na kila siku nipo kwenye mizunguko yangu ya kawaida na wadau wangu wapiga debe, mamantilie, machinga, waosha magari na day workers na watumishi wa umma wote.

Kitu nime notice bado watu wanawakubali kwa kiasi kikubwa viongozi walokuwa kwenye Serikali ya JPM, kila kinachofanyika sasahivi kinalinganishwa na awamu ilopita na mwisho inaonekana awamu ya Jpm kukubalika zaidi.

Tuwe tu wakweli wa nafsi zetu, Sukuma Gang ingekuwa Chama rasmi na kikapewa nafasi ya kumsimamisha mgombea Urais let's say Polepole, Bashungwa, Biteko au Bashiru dhidi ya January Makamba, Ridhiwani Kikwete, Nape and or Mwigulu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi or kura za wazi, nani anatoboa?
View attachment 2443648
mpuuzi wewe leo ndiyo unajua kuwa kuna TUMEHURU YA UCHAGUZI? ILE YA MAHERA si mlisema ni huru ndiyo maana wapinzani walichaguliwa 2015?
shenzi kabisa
hao wadau wako ulikutana nao wapi?
uliwachaguaje ili kuzungumza nao?
wana uelewa/elimu gani?
uliongea nao kwa lengo gani?
kwann uliamua kuongea na watu hao tu na siyo kundi lingine
maswali ni mengi
KAMFUFUE UZIKWE WEWE
 
mpuuzi wewe leo ndiyo unajua kuwa kuna TUMEHURU YA UCHAGUZI? ILE YA MAHERA si mlisema ni huru ndiyo maana wapinzani walichaguliwa 2015?
shenzi kabisa
hao wadau wako ulikutana nao wapi?
uliwachaguaje ili kuzungumza nao?
wana uelewa/elimu gani?
uliongea nao kwa lengo gani?
kwann uliamua kuongea na watu hao tu na siyo kundi lingine
maswali ni mengi
KAMFUFUE UZIKWE WEWE
Kwaiyo unataka tubishane? Nonsense 🤨
 
Back
Top Bottom