kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Watu wengi wanaweza kuona kikosi cha Yanga ni cha kawaida kutokana na sajili za Simba lakini kwangu mimi bado Yanga wana kikosi kikubwa zaidi ya Simba hasa hasa washambuliaji wa Yanga.
Kipindi cha nyuma niliwahi kusema ni marufuku kucheza na Yanga huku ukiwa unacheza kwa kuwashambulia kwa Wingi zaidi utakuwa unajitafutia matatizo ya kifo cha kujitakia.
Yanga ni wabaya zaidi ukiwapa nafasi ya kukimbia na mpira iwe katikati au pembezoni mwa uwanja
Maana wana washambuliaji wenye kasi zaidi na nguvu kuliko timu yeyote nchini.
Na wakienda na mpira wao huu kimataifa hakika yanga bingwa full stop.
Kipindi cha nyuma niliwahi kusema ni marufuku kucheza na Yanga huku ukiwa unacheza kwa kuwashambulia kwa Wingi zaidi utakuwa unajitafutia matatizo ya kifo cha kujitakia.
Yanga ni wabaya zaidi ukiwapa nafasi ya kukimbia na mpira iwe katikati au pembezoni mwa uwanja
Maana wana washambuliaji wenye kasi zaidi na nguvu kuliko timu yeyote nchini.
Na wakienda na mpira wao huu kimataifa hakika yanga bingwa full stop.