sasa hizi ndo afya kwa mwanadamu mwenye akili timamu
jamani mie haijalishi niko wapi,au gari gani au uboss gani,nikipata tu mwanwane najiachia fulu sina noma wala nn!!kwanini nikonee haya kitu kilichonifanya niwe na afya hivi.
je,mnafanya nini kuhamasisha familia zenu kuwa na vitu vya asili???mf kupanda miti ya matunda asili au kununua sokoni,mapera,mizeituni,parachichi,mifudu,embe ng'ong'o,fenesi nk au mboga za majani lol
sio watoto wa soseji na pizza ovyo kabisa