nchelegwanzingi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 468
- 277
Badoo ni nima aisee yaani kule wanajiuza live bila chenga
To be honest sasa hivi kama unataka mzigo wa kupiga fasta unazama Badoo mnachat kidogo mnakubaliana bei na anakukuta room
Ushauri wangu, panga naye mkutane gesti, aje. Akukute wewe umejaa tele ndani ya room
Then usimpe nafasi kabisa ya kujitetea, mwambie tu muda wote ulikua unachat na mimi baada ya kuambiwa upo badoo
Kisha mtakie maisha mema na usepe mazima
Yaani ndio mwisho....,. Itamtesa maisha yake yote kuliko kusambaza mapicha yake ya utupu
Thread kama hizi huwezi kukuta mdada anachangia...yaani wanasoma na kupita kimya kimyaa..kama hawapo vileeee.....hawa viumbeee dah acha kabisaa! By the way, usisambaze picha zake. Nakushauri tafuta sehemu iliyotulia ya wazi kabisaa....mwambia una story naye...vaa sura ya kazi..kisha mpe ukweeli wote A to Z. na mwambie yeye na wewe ndio bye bye...asikujue na wala hutamjua tena....kisha nyanyuka sepa...usimpe nafasi ya kuongea...wala kuona machozi yake. Chukua usafiri wahi home. Hata kuja kukusahau hadi siku ya mwisho.
Badooo 99% ya wasichana wanajiuza.ukiwa na mpenzi wako ana badoo app ktk simu yake shtuka na kimbia fasta.Badoo ni ya wasichana wanaojiuza 80% ya malaya wa sinza wapo badoo
Hii kitu nilikua siifahamu Mara ya kwanza niliiona kwa my hubby mie nikajifungulia najua ni kama Jf looh yaliyomo humo mmmmh ngoja tu niendeleage na ushamba wangu
ukiangalia fedha muda n penzi ulilompa afu umsamehe tu ivivi haiwezekani wanazoea awa. wanatuumiza wanategea atasamehe tu. ni lazima umuonyeshe tofaut. but usifundishe adabu bila kumwambia kosa lake.
Huna sababu ya kusambaza picha. Bali muite mkae mpe reaon msimulie yoote uliyosimulia hapa. halafu muulize swali moja tu je wafaa kuwa mke wangu na je ninafaa kuwa mume wako. then toa jibu mwenyewe UCHUMBA UMEISHIA HAPA.
Angalizo tulio katika mahusiono acheni udukuzi!!!!! ndoa zitaisha na chumba zitavunjika kila leo
Acha zako ww unaanzaje kumsamehe mtu wa namna iyo,amuache tu time heals everything as time goes on he will be able to forget her and move on with ihis life.he shouldn't feel pity on her at all.Pole kwa yalokukuta ila samehe na anza upya ya nin malumbano msamehe na msahau. Bila ya hivyo utakuwa unajitesa ww maishan mwako kwanin akutese na w.wke wapo kibao wanaokutaman? Sahau mkuu na msamehe yaishe anza namba moja hutajuta maishan mwako
Acha zako ww unaanzaje kumsamehe mtu wa namna iyo,amuache tu time heals everything as time goes on he will be able to forget her and move on with ihis life.he shouldn't feel pity on her at all.