nchelegwanzingi
JF-Expert Member
- May 19, 2013
- 468
- 277
Ukiona mpenzi wako mume, mke anatumia badoo basi achana nae mara moja, badoo ni mtandao makahaba 100% kuna nini cha maana badoo utachat na mtu zaidi ya uzinzi?
Kama umeshajionea hayo unasubiri nini mpaka uje uletewe ngoma?
Kwa muda huu anatumia badoo unadhani kishagegedwa na wangapi waliokuja na style kama yako? nifah hebu kuja huku utoe ushauri mualike na binamu yako warumi maana ndio anapenda story kama hizo
Kama umeshajionea hayo unasubiri nini mpaka uje uletewe ngoma?
Kwa muda huu anatumia badoo unadhani kishagegedwa na wangapi waliokuja na style kama yako? nifah hebu kuja huku utoe ushauri mualike na binamu yako warumi maana ndio anapenda story kama hizo
Last edited by a moderator: