Huyu mama inahitaji moyo kumsikiliza
anatia kichefuchefu.
Katika wanawake wachache wanaojuwa wanachokifanya huyo ni mmoja wapo. Anajieleza kwa ufasaha kabisa na bila kutafuna maneno. Hongera Badra.
We unahangaika kumjibu? Hujui kama hata nduguHivi kinacho angaliwa ni kujieleza au anachoeleza,umesikia majibu aliyokuwa anatoa asubuhi hii?Pumba tupu.
Katika wanawake wachache wanaojuwa wanachokifanya huyo ni mmoja wapo. Anajieleza kwa ufasaha kabisa na bila kutafuna maneno. Hongera Badra.
Hivi kinacho angaliwa ni kujieleza au anachoeleza,umesikia majibu aliyokuwa anatoa asubuhi hii?Pumba tupu.
Katika wanawake wachache wanaojuwa wanachokifanya huyo ni mmoja wapo. Anajieleza kwa ufasaha kabisa na bila kutafuna maneno. Hongera Badra.
anajua anachokinena!! :suspicious:Nina wasiwasi kama unajua unachokisema!
kuna tofauti kubwa kati ya kujieleza kiuhakika na kudanganya kiuhakika.... yeye anadanganya kiuhakika!!!!
after-all, if she is competent whay wouldn't she look for a better job than a messenger of lies and promises in a company that has never delivered even 20% of service level ?
Katika wanawake wachache wanaojuwa wanachokifanya huyo ni mmoja wapo. Anajieleza kwa ufasaha kabisa na bila kutafuna maneno. Hongera Badra.
kuna tofauti kubwa kati ya kujieleza kiuhakika na kudanganya kiuhakika.... yeye anadanganya kiuhakika!!!!
after-all, if she is competent whay wouldn't she look for a better job than a messenger of lies and promises in a company that has never delivered even 20% of service level ?
Badra atoa ufafanuzi kuhusu ukatikaji wa umeme.ahsubui hii. on itv.
Saidomr
Naona watu wana usongo na Barda kuliko ujumbe wake. Kama wewe ulifanikiwa kumsikiliza hebu tueleze ... Katoa ufafanuzi gani ... Anasemaje kuhusu tatizo la umeme kukatika mara kwa mara?