Jamani, hii nchi mtatuulrumia lini?
Huyu bibi wa TANESCO Badra mbona ni bogus sana na bado kuna watu wana mshinikiza Mhando aendelee naye tuu!?
Sio mara ya kwanza kusikia u_pu_pu wake, ila leo nimeona niandike!!Leo Radio One sa 12:39 asubuhi anahojiwa - kuhusu kuhamisha nguzo kupisha mradi wa mabasi ya kasi - anaanza mipasho kutoa mipasho!
Ndo taabu ya hawa wadudu, wakisha shikwa mikono tuu basi wanavimba vichwa hata wanasahau "etiquete" za kazi zao.
What she responded to the reporter today was purely rub_bish.
Mr.Mhando hebu mn'goe tena hapo, this time tutakusaidia, weka Public Relations Officer ambaye ni Engeneer! TANESCO sio kina Voda, Airtel, etc wa kuuza sura!!