Bagamoyo Day Trip: Kwa Wakazi Wa Dar & Pwani

Bagamoyo Day Trip: Kwa Wakazi Wa Dar & Pwani

Weekend iliopita nilikuwa Bagamoyo. kwa mara ya kwanza nikashiriki mnada wa samaki. Unaweza kushangaa umenunua samaki wa 200,000/=
Huo mnada upoje? Niliambiwa kununua samaki uwe na mwenyeji.. madalali wengi
 
Huo mnada upoje? Niliambiwa kununua samaki uwe na mwenyeji.. madalali wengi
Unasubiri wavuvi wakifka na maboti yao. Wanakuja na mzigo pale sokoni, wanauweka mnaanza bidding. Samaki wanakuwa bundle pcs kama ishirini hivi unaweza kununua kwa 20k-30k vibua,changu etc. Bei nafuu kinoma. Mimi na jamaa yangu tuliondoka na ndoo moja moja.
 
Back
Top Bottom