Bagamoyo: Mitishamba ya kuongeza nguvu za kiume yadaiwa kusababisha vifo vya vijana Wanne

Matatizo ya ukosefu wa nguvu za kiume uchangiwa na mambo makuu manne.
1.Ukikosa pesa..
2.Msongo wa mawazo unaosababishwa na namba 1
3.Matatizo ya kisaikolojia.
4.Kutokula chakula Bora.
Sasa hapo utachemsha hadi majani ya mmavi mavi lakini wapi.
Vijana wasiku hizi hawana pulling kwa sababu chips mayai mimi nipo na miaka 48 lakini nipo na uwezo wakupiga bao moja kwa dakika 45 kwa siku nakwenda bao 2 mpaka asubuhi 3
 

Wabadilike na wawe wavumilivu kama ambavyo walikua mama zao na bibi zao,wenye maumbile madogo walikuwepo tangu zamani hizo ila uwezo wa kinamama wa kipindi hicho wa kuhifadhi mambo ya ndani ulikua mkubwa sana
 
Vijana hawapaswi kukosa nguvu za kiume hadi kufikia kutegemea mitishamba.
 
Huwezi kujua huyu ni mrefu bila mfupi kuwepo, na huwezi kujua huyu ni mnene bila mwembamba kuwepo, wanawake wapunguze umalaya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…