Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Mwaka huu naona wako na ibilisi.Lisu ni pepo 2015 alitamka wazi kuwa chadema iko tayari kushirikiana hata na Shetani kama atawasaidia kushika dola alipoulizwa kwa nini wamempokea Lowasa waliyemwita fisadi kugombea uraisi Chadema
Ndiyo maana hawatoi ajira ili muendelee kuhidhuria mikutano.Huwa nawashangaa sana wanasiasa, unawakusanya Watu muda wa kazi kwasababu zipi hasa.
Kwanini wanasiasa wasiambiwe muda wakukusanya watu uwe kuanzia saa 10? Kama unahoja mbona saa moja linatosha kuwaambia watu wakakuelewa.
Watanzania tuache uvivu na kupenda kukusanyika hovyo mida ya kazi tunajidhalilisha na wanasiasa wanatuona sisi tupo tu tunawasubiri wao muda wote waje kutupigisha stori.
Kumbe ndiyo maana mkoa huo kuna umasikini wa kutupa. Mama zenu a baba zenu nyuso zimekunjamana kwa omba omba hata aibu hamuoni.Mkuu, nipo Bagamoyo eneo la Ukuni na ofsi zangu zipo magomeni karibu kabisa na viwanja vya shule ya msingi Majengo, anachoripoti jamaa ni kweli
Asubuhi wazee wa mji wanauliza Tu, Nani aende Kwa msaliti?
Hili swala la usaliti limekuzwa Sana na kuvuma mno na nadhani wengi wanasema sema tu bila hata kufahamu maana yake au dhana nzima ya huo usaliti
Watu hawajaenda kabisa, tofauti Kabisa na alipokuja Mama Samia
Hoja yako inapata UDHAIFU kwa hiki kipindi.Huwa nawashangaa sana wanasiasa, unawakusanya Watu muda wa kazi kwasababu zipi hasa.
Kwanini wanasiasa wasiambiwe muda wakukusanya watu uwe kuanzia saa 10? Kama unahoja mbona saa moja linatosha kuwaambia watu wakakuelewa.
Watanzania tuache uvivu na kupenda kukusanyika hovyo mida ya kazi tunajidhalilisha na wanasiasa wanatuona sisi tupo tu tunawasubiri wao muda wote waje kutupigisha stori.
Wazee wa mji wa bagamoyo, wanaongea haya maneno utasema wana cha maana, kumbe wapo wanakunywa gahawa, halafu wanathubutu kumkejeli Rais mtarajiwa... wana hali ngumu sanaMkuu, nipo Bagamoyo eneo la Ukuni na ofsi zangu zipo magomeni karibu kabisa na viwanja vya shule ya msingi Majengo, anachoripoti jamaa ni kweli
Asubuhi wazee wa mji wanauliza Tu, Nani aende Kwa msaliti?
Hili swala la usaliti limekuzwa Sana na kuvuma mno na nadhani wengi wanasema sema tu bila hata kufahamu maana yake au dhana nzima ya huo usaliti
Watu hawajaenda kabisa, tofauti Kabisa na alipokuja Mama Samia
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Hatuhitaji kukusanyika ili kumsubiri mgombea sisi ni wenyeji halisi wa eneo husika atakapofika tu tunafurika wanaosubiria mgombea tangu asubuhi uwanjani ni wale waliosombwa ba malori hivyo wanalazimika kukaa barabarani au uwanjani ili kumsubiri kwani wanakuwa hawana pa kwenda ukizingatia ba vyuma vimekaza😁😁😂😁😁😂Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Hata ukiacha lkn ndie anayepanga maisha yako yaendajeYaan niache shuguli zangu nikamwangalie mwanasiasa!!!
So laana ya umasikini wetu ilianzia paleBagamoyo wanapaogopa sio utani
Uhuru wa Tanzania ulitokea pale mti wa uhuru bagamoyo na udongo ule ambao Nyerere na Karume waliuchanganya kuunda muungano wa sasa huu wa serikali mbili ambao udongo ulichukuliwa Zanzibar na Tanganyika udongo uliotumika kufunga huo muungano kwa Tanganyika ulichotwa bagamoyo ukasomewa dua nzito na wazee wa bagamoyo akapewa Nyerere akachanganye na ule wa Zanzibar uliosomewa madua na wazee wa Zanzibar
Mvunja muungano au mwenye nia ya kubomoa muungano huu wa serikali mbili kiboko yake iko bagamoyo hata Lowasa alikimbia kufanya kampeni na UKAWA wake bagamoyo anapajua alisepa
Huyu mtoa mada (Countrywide) mada zake kubwa hapa JF ni kuonyesha Lissu amekosa watu (hana nyomi). Hii ni mara ya tatu hivi anakuja na hizi hadaa.
Kwa mahali nilipokaa siwezi kupata view
Jibu la kishweitani hili; kwamba hata Lissu na viongozi husika hawakuwepo?
Basi huo uwanja haukuwa na tukio lolote
Mataga wamezuiya kibali cha helkopta ikiyokusudiwa kutumiwa na Lissu.
uoga
uoga
uoga.
Mara moja kwa miaka 5 Kuna shida gani,Huwa nawashangaa sana wanasiasa, unawakusanya Watu muda wa kazi kwasababu zipi hasa.
Kwanini wanasiasa wasiambiwe muda wakukusanya watu uwe kuanzia saa 10? Kama unahoja mbona saa moja linatosha kuwaambia watu wakakuelewa.
Watanzania tuache uvivu na kupenda kukusanyika hovyo mida ya kazi tunajidhalilisha na wanasiasa wanatuona sisi tupo tu tunawasubiri wao muda wote waje kutupigisha stori.
Huna tarifa kuwa chopa imezuwiwa kurushwa huko JKNIA
Yaan niache shuguli zangu nikamwangalie mwanasiasa!!!
Wanaingizia kuwa helcopter imezuiwa kuruka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Memba una Habari zisizo sahihi. Kuna Makala zimesoma chopa imezuiliwa kuruka. Nani mkweli kati yako na wale.
Mtu uwe na akili timamu uende kuangalia upuuzi kama huu?Mtu uwe na Akili timamu ukamsikilize Mropokaji