Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Watakatifu ambao hawakosolewi....Hili linaweza kuwa tatizo, chama kinatakiwa kikae haraka kuja na mikakati
Unadhani watastuka basi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watakatifu ambao hawakosolewi....Hili linaweza kuwa tatizo, chama kinatakiwa kikae haraka kuja na mikakati
Hawa jamaa,wanapenda Sana propaganda za kijinga.Ndo wakasingizia eti chopa imenyimwa kibali cha kuruka
Kwani wewe ulitaka Burudani nipewe na Nani?Yani diamond ndo akupe burudani?
Tanzania ni taifa la pombe, beating, pool table na ngono
😆 😆😆Mgombea wa chadema anasubiri watu waje kumsikiliza bila mafanikio
View attachment 1565169
Kuna jamaa yangu pale nasikia wameongezewa sasa hivi wanakula elfu kumi [emoji1] [emoji1] [emoji1]Chukua boda boda uwahi hapa Lumumba uje uchukue buku saba yako.
Tunapenda vijana wabunifu na wenye propa kama wewe,,, na kuanzia leo umeingia Rasmi kwenye malipo ys buku saba kila siku.
MATAGA
Upewe na kidume kama mondi amma vipi totoKwani wewe ulitaka Burudani nipewe na Nani?
Bagamoyo walichofanya sijakipenda, ni kitendo kinachopaswa kupigwa vita kwa nguvu zote
ulipotelea wapi ?Leteni picha makamanda; yaani mmekaa kimya mpaka saa hizi?
Mbona unakimbilia matusi?Upewe na kidume kama mondi amma vipi toto
Mbona unakimbilia matusi?
[/QUOTE
Situnagi watu mm nambie tusi ni lipi hapo????
Umejaa ujingaTatizo mtu kama Lisu na baadhi ya vitoto koko vya viongozi vingine havitaki hata kujua historia ndogo tu ya kujua tu udongo uliochanganywa ulichotwa wapi Tanganyika na Zanzibar? Na ile chupa iliochanganywa ule udongo baada ya kuchanganya ilipelekwa wapi na ule udongo?
Kuvunja muungano Lazima ujue siri ya ile chupa ilipo na ukaibomoe ndio unaweza vunja muungano huu wa serikali mbili siri imo bagamoyo kwa custodians wa muungano
hakuwa na hela ya mafuta sasa ulitaka aje na daladala au atembee?Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Yaan niache shuguli zangu nikamwangalie mwanasiasa!!!
Sasa utaweka picha ya uwanja tupu??
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Ukiwekewa picha ndo uyafurahi?Weka picha ya mkutano wa Lissu ili kuwakata ngebe mataga
Mwambie boda ntalipa mimi haijalishi anaatokea wapi 😉 😉Chukua boda boda uwahi hapa Lumumba uje uchukue buku saba yako.
Tunapenda vijana wabunifu na wenye propa kama wewe,,, na kuanzia leo umeingia Rasmi kwenye malipo ys buku saba kila siku.
MATAGA
Wewe unaweza ukatoka kazini nakwenda kumsikiliza mwana siasa?....Wazaramo na siasa wapi na wapi???-- lao ni ngoma na bao tu.🤣