Uchaguzi 2020 Bagamoyo msirudie mlichokifanya kwa CHADEMA leo

Uchaguzi 2020 Bagamoyo msirudie mlichokifanya kwa CHADEMA leo

Chukua boda boda uwahi hapa Lumumba uje uchukue buku saba yako.
Tunapenda vijana wabunifu na wenye propa kama wewe,,, na kuanzia leo umeingia Rasmi kwenye malipo ys buku saba kila siku.

MATAGA
Kuna jamaa yangu pale nasikia wameongezewa sasa hivi wanakula elfu kumi [emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Bagamoyo walichofanya sijakipenda, ni kitendo kinachopaswa kupigwa vita kwa nguvu zote

Mikutano hiyo ni hiari, sasa la uungwana liko wapi. Kwa nini mtu apoteze muda kwenda kumsikiliza Magufuli kama yeye hakubaliana na sera za Magufuli, vivyo hivyo kwa nini mtu aende kwenye mkutano wa Tundu Lisu/CHADEMA kama yeye hakubalina na siasa/sera za Tundu Lisu/CHADEMA. Komaaeni na kukubali ukweli, hata kwa Magufuli hawaendi wote, ama sivyo miji isingepitika siku hizo.
 
Tatizo mtu kama Lisu na baadhi ya vitoto koko vya viongozi vingine havitaki hata kujua historia ndogo tu ya kujua tu udongo uliochanganywa ulichotwa wapi Tanganyika na Zanzibar? Na ile chupa iliochanganywa ule udongo baada ya kuchanganya ilipelekwa wapi na ule udongo?

Kuvunja muungano Lazima ujue siri ya ile chupa ilipo na ukaibomoe ndio unaweza vunja muungano huu wa serikali mbili siri imo bagamoyo kwa custodians wa muungano
Umejaa ujinga
 
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.

Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.

Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.

Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.

Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.

Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.

Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.

Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.

Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.

hakuwa na hela ya mafuta sasa ulitaka aje na daladala au atembee?
 
Sasa utaweka picha ya uwanja tupu??
Subpost 2 - Mgombea Urais wa @ChademaTz Mhe. @TunduALissu akizungumza na wananch ( 335 X 640 ).jpg


Wewe huu uzi wako ulipaswa kufutwa muda mrefu tu , sema kuna moderator kakulinda tu
 
JF imekuwa si ile ya great thinkers! sijui moderators mtafanya nini Angalia hii ya Bagamoyo
 
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.

Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.

Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.

Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.

Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.

Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.

Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.

Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.

Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.

 
Chukua boda boda uwahi hapa Lumumba uje uchukue buku saba yako.
Tunapenda vijana wabunifu na wenye propa kama wewe,,, na kuanzia leo umeingia Rasmi kwenye malipo ys buku saba kila siku.

MATAGA
Mwambie boda ntalipa mimi haijalishi anaatokea wapi 😉 😉
 
Back
Top Bottom