ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,050
- 6,199
Daktari akithibitisha kuwa umekamilisha matibabu zitakuja.Leteni picha makamanda; yaani mmekaa kimya mpaka saa hizi?
SawaMimi kuhusu chopa kuzuiliwa hilo sijui, nilichokieleza kwenye hii mada ni kuwa watu uwanjani hawajafika. Hakuna watu
Yaani hata mambo ya uongo mna amini? Lissu helkopta imezuiliwa kuja kutua hapo eneo la mkutano. Na sio kweli kwamba ameshindwa kuhutubia kwa kukosa watu. Mleta mada ni mjinga asie mfufuatiliaji wa mamboThanks Bagamoyo.
Ukiendelea hivi unaweza kuwa mtunzi mzuri. Fala weweHabari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Yaani hata mambo ya uongo mna amini? Lissu helkopta imezuiliwa kuja kutua hapo eneo la mkutano. Na sio kweli kwamba ameshindwa kuhutubia kwa kukosa watu. Mleta mada ni mjinga asie mfufuatiliaji wa mambo
View attachment 1565323
Ukiendelea hivi unaweza kuwa mtunzi mzuri. Fala wewe
Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
Yani diamond ndo akupe burudani?Kuangalia show ya Diamond Ni Bora kwasababu napata burudani kuliko kusikiliza Sera za uongo za wanasiasa wetu.
Dah... Wewe hujui kuweka picha ya watu waliozimia ni kosa kisheria? [emoji2960]Mbona mnabwabwaja tuu hampigi picha huo uwanja tuone waliozimia?
Wewe acha Uongo, hayo mashamba kwanza hayakurudishwa kwa wakulima kutoka kwenye uongozi wa magereza....Nalijua jambo hili kindakindaki na mzee wangu ni mmoja wa watu waliokuwa wanalima kwenye sehemu hiyo ya magareza(Masagani) wali-stop kulima since 2012 mpaka leo hakuna anayelima... Alafu kuhusu barabara ilikuwa ni kitambo tu tangu azindue hiyo barabara na kufungua hilo daraja la kariakoo(mtoni).Nimekuwa nikikakaa Sana haya maeneo ya Bagamoyo, kunakipindi cha Kati hapo, wazee walianza kumchukia Sana Magufuli
Lakini kama mnakumbuka Mh Magu alikuja Bagamoyo kufungua barabara Bagamoyo to Msata, pale darajani wenyeji huita mtoni
Kulikuwepo mgogoro mkubwa Sana Kati ya wananchi na eneo la Magereza Bagamoyo
Mgogoro ule ulikuwa ni Aridhi ya wananchi ilikuwa imechukuliwa na Magereza, mashamba Yale yaliporudishwa Tu Kwa wananchi, aaaah basi,
Na hili Jambo la Corona, limempa kuaminiwa Sana na waislam wote huku Bagamoyo na kumuona shujaa Baada ya msimamo wake JPm kuwa hatafunga miskiti na makanisa, watu wataingia na kumwomba Mungu, yote tisa, kumi, ni pale Corona ilipoondoka kabisa,
JPM anakura zote za watu wa Bagamoyo
Kwanza wewe huna hata kazi, unaishi kwa shemeji...Huwa nawashangaa sana wanasiasa, unawakusanya Watu muda wa kazi kwasababu zipi hasa.
Kwanini wanasiasa wasiambiwe muda wakukusanya watu uwe kuanzia saa 10? Kama unahoja mbona saa moja linatosha kuwaambia watu wakakuelewa.
Watanzania tuache uvivu na kupenda kukusanyika hovyo mida ya kazi tunajidhalilisha na wanasiasa wanatuona sisi tupo tu tunawasubiri wao muda wote waje kutupigisha stori.
Habari wanajf, kuna suala ambalo sio la kawaida limejitokeza siku ya leo pasipo kutegemea.
Na kama ilivyo kawaida kwa kamanda mimi huwa sifumbi wala sifichi matatizo, nayamwaga ili kuwepo kujirekebisha kwa wahusika.
Siku ya leo ilikuwa siku ya kampeni ya mgombea wetu wa chadema katika mji wa bagamoyo.
Kama kawaida matangazo ya hapa na pale yalipita karibu sehemu nyingi kuwakumbusha watu juu ya kuhudhuria shughuli hiyo na ratiba ilionyesha mgombea wetu wa chadema angeanza kampeni pale muda wa saa 4 hadi saa 5.
Cha kushangaza ni kuwa hadi kufikia muda wa saa 3 asubuhi hakukuwa na mtu yoyote eneo la tukio, tukavuta subra kufika hadi saa 4 napo bado, kufika saa 5 napo bado.
Wakatokea baadhi tu ya viongozi wa CHADEMA wilaya ya Bagamoyo, nadhani lengo ni kuangalia muitikio kama kuna watu ili mgombea wetu aje amwage sera zake.
Lakini pengine kutokana na nature ya eneo la Bagamoyo watu wake pengine bado hawana muamko na upinzani, basi hadi sasa hivi saa saba hii inaenda saa nane mchana HAKUNA WATU KABISA.
Hali iliyopelekea mgombea wetu kutoonekana hapa viwanjani na pengine anaweza kuhairisha hili zoezi siku ya leo kutokana na kupuuzwa huko.
Niwaombe wananchi wa bagamoyo wasirudie tena walichokifanya leo kwa mgombea wetu na chadema kwa ujumla.
Mimi sio mataga, na pia kelele zako humu hazisaidii kitu kama huendi kwenye kampeni.