Kwa mange hakuna skrinishot dear kupakua kwenyewe uwe mtaalamu sana ,miye kujiunga inafeli nimekaa tu sijiungiNimejaribu kuscreenshot kwa mange inakuja screen ya giza. Mange mshenzy sana. Hatak tuibe ubuyuu
OK nashukuru kwa kunifungua.....kwaivo hapo tuseme mke wa marehemu labda ndugu washajua mipango yake pengine hata kifo cha ndugu yao kina utata! Mwanamke hataki kaburi la mumewe! Inamaana ameshajaa tamaa ya mali anaweza hata kuuaHaiko hivyo mkuu, mume akifa ukisikia anaenda kuzikwa kwao ujue anaenda alikozaliwa ambako mke hana uhalali nako, hivyo ndugu wa mume watahusika mwanzo mwisho, na mke siku zote anazikwa na mume wake(hapo mwanaume ndiye anaamua mke wake azikwe wapi) hapo mambo ya haki au gender balance hayapo
Aseehh...huzuni sana !!hawawajui Wachaga hao wamekutana na miamba SasaYeye na ukoo wake wote washenzy sana
Mwanamke hawezi kuwa na tabia za ovyo za kujulia mjini. Yani ni mambo yanaanzia kwenye familia zao kwenye malezi. Unaambiwa ndugu wa mke wote walijificha hawajazikaa
Yaani umefiwa na mume wako halafu unapata ujasiri wa kukimbia mwili wa mumeo loh. Ila nyumba ikiwa na kaburi hakuna atakaye nunuaHawa ndio wanafanya wanawake wa kichaga waonekane wauaji
Mwanzoni ilikuwa I nakubali mbona. Walipomhak ndo naona aliboreshaKwa mange hakuna skrinishot dear kupakua kwenyewe uwe mtaalamu sana ,miye kujiunga inafeli nimekaa tu sijiungi
Hapo ni nyumba ilikua inaliwa timing.Mambo mengine ni upuuzi tu, huyo alitaka kujimilikisha msiba Ili akapate michango Kwa ndugu zake huko. Ndugu wa Mume wapo sahihi na wasibabaishwe na huyo mke wao.
Eehh .wanawe mateja washauza sana viwanja vya yule Mzee kinyemelea akajua Hawa nikifa watauza mpk mji wangu Wa asili ,wameuza koote wamebakisha nyumba tu ya marehemu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wazee wameamua
Daahh..wametukosesha uhondo hackers haoMwanzoni ilikuwa I nakubali mbona. Walipomhak ndo naona aliboresha
Kutaka kwenda kuzika Kilimanjaro sio kwamba alimpenda sana "mumewe"; bali angezikwa hapo nyumbani ingemwekea kauzibe kuuza au kutumia nyumba na eneo jinsi apendavyo!Akataka kwenda kuzika Kilimanjaro?
Hivi ukishakuwa na ndoa mwenye haki ya kuzika ni mke au ndugu wa mume?
Naona kama umetukana bila sababu hivi.
Kama hivi bora asee. Bora anyooshweHii issue ina story mdefu kdg mke ni shangingi la town hakutaka mwili uzikwe pale ili auze nyumba na mme aliacha usia azikwe hapo
Kaburi la angalau miaka 25 labda; sio jipya kama la Masawe.Kwann mtu azikwe nyumbani??? Wakati sehemu za kuzika zipo. Au marehemu hakutaka nyumba yake iuzwe.??? Ila siku hizi watu wanahamisha makaburi na nyumba inauzika vizuri tu
... wengine humu wameitafsiri hii story wrongly; kwamba mke alimpenda mumewe hivyo alitaka akazikwe Moshi kama kawaida ya hao jamaa. Kumbe ni kinyume; kutotaka mumewe azikwe pale ni kuondoa "uchafu" ili awe huru na shamba na nyumba.Hii issue ina story mdefu kdg mke ni shangingi la town hakutaka mwili uzikwe pale ili auze nyumba na mme aliacha usia azikwe hapo
kwa asili yetu wachaga huwa tunazika moshiWenye wajibu wa kuzika ni ndugu, mke Hana mamlaka mumewe azikwe wapi ila mwanamke akifa mumewe ndio mwenye mamlaka
... It takes time kaburi kuhamishika and by that time huyo mwanamke naye kwisha habari yake.Sema siku hizi makabur yana hamishwa na nyumba au kiwanja kuuzwa...
Watu tumekosa aibu kabisa,Mnooo anathamini Mali kuliko utu....na Kwa staili huyu dada alikua kimaslahi zaidi
Unapata wapi ujasiri wa kufunga mlango msiba wa mwenza wako?dada ana balaa
Umekuripoka wewe soma vizuriManka kaona fursa ya kupangisha nyumba apate pesa hafikirii kabisa utu, ndio maana wanawake wachaga wanachukiwa kumbe hawasingiziwi.
DeepPond njoo usome huu mkasa ili ututungue story.
Mnakurupuks wajomba meanamke ni msukuma rudieni kusoma tenaMimi nishadate na mchaga wa old moshi nikawa namtania alikuwa anachukia japo alinicheat akabeba mimba uko
Hila mwanamke wa kimachame muogope sana akishajua hapa pesa hipo kifo kinakuhusj