Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa mbona Sheikh Yahya kafia India kasafirishwa kuzikwa Tanzania?Uislam mwema sana, unapokufa ndipo unapozikwa.
Ikitokea utata wenye maamuzi ni warithi.
Kama unaongelea case hii Basi inawezekana huyo mwanaume kapigwa bomu na watu tofauti, sio huyu mwanamke anayeishi naeKila mtu kwa wakat flan kwenye dunia hii huwa ana roho mbaya. Sasa unajua kilichotokea? Yule mwanaume baada ya kuoa anataka kufukuza wanae aliozaa na marehemu mke wa kwanza ambaye yule marehem mali zote yeye ndo alichuma.
Hii dunia haina formula ndo maana watu wanawindana
Warithi ndiyo waliamua kumsafirisha azikwe Tanzania!!Sasa mbona Sheikh Yahya kafia India kasafirishwa kuzikwa Tanzania?
Yani kuna mikundu sana Tanzania, chuki ambazo ukimuuliza vizuri sababu za msingi utakuta halina. Wangekuwa na tamaa si wangedanga kama kina hamisa na kajala waskuma wenziooManka kaona fursa ya kupangisha nyumba apate pesa hafikirii kabisa utu, ndio maana wanawake wachaga wanachukiwa kumbe hawasingiziwi.
DeepPond njoo usome huu mkasa ili ututungue story.