Hassani
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 900
- 1,632
Ndo ushamba wenu unapokuja sasa.Basi sisi wengine tutaendelea kufanya hivyo mpaka hapo..... Wewe kazikwe huko usaidie serikali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo ushamba wenu unapokuja sasa.Basi sisi wengine tutaendelea kufanya hivyo mpaka hapo..... Wewe kazikwe huko usaidie serikali.
Na kujitilisha huruma za kijane mbele za watu.Aisee,
Hii changamoto sn,
Nishaiskia pia, MKE anakua anapikia chakula chako mafuta ya transformer.
Mwaka TU, unaugua ini unakufa anabaki mjane
Hiyo kumtimua pekee haikutosha.Wanyantuzu wako tofauti na wasukuma wengine wana roho za kinyama yani isingekuwa kusema huyo mke ningejua unamsema mdingi wangu mkubwa,, ye ilikuwa binti wa mkewe(ni wa huko simiyu, na wakati anaolewa na huyo mshua tayari alikuwa na mtoto wa kike), basi maisha yameenda ila mshua ni mkoloni sasa binti akaona ya nini kutesa mama yake akamtilia sumu kwenye msosi, ila mshua hiyo siku hakujisikia kula hivyo kikamwagwa jalalani,, baada ya muda walikuta mbwa kafia hapo hapo ndo kufatilia ikajuljkana ni binti wa huyo maza,, alimtimua mpk leo hajakanyaga pale,
AarrghhPunguza jazba mkuu,
Ukakasirika mapema kwa presha utakufa hata sumu aliyodhamiria hajakukorogea[emoji4]
"Na ukifa huna mamlaka ya kuzuia mjane kupauza. Au kuingiza ki ben 10 chake aishi nacho"USIOGOPE ndoa.
Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971, Sura ya 29, Kipengele cha 5, Ibara ya 58 iinasema, ndoa isiwe sababu ya kumzuia mtu kutafuta chake, wala kumiliki chake, wala kuuza chake kivyake vyake.
Nje ya hiyo nyumba ya wanandoa unaruhusiwa kuwa na chako, iwe umechuma kabla au ndani ya ndoa. Ukiwa na vijumba vingine ukaweka wapangaji sawa, hizo haziguswi na mke au mme. Mradi ina jina lako na hamuishi humo.
Lakini mule mnamoishi na mkeo kaa ukijua huna mamlaka pale. Haiuziki bila idhini yake mpaka kifo kiwatenganishe. Na ukifa huna mamlaka ya kuzuia mjane kupauza. Au kuingiza ki ben 10 chake aishi nacho. Wala wewe kuandika wosia eti uzikwe mlango wa mbele. Sio eneo lako!
Kazikwe kijijini kwenu maporini huko au kwenye hizo nyumba zako za kupangisha zenye jina lako peke yako kama unataka kuzikwa mlango wa mbele.
Avatar ni yako?Kummmmko una hasira sana utafikiri huyo malaya ni mkeo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Hakika. Na unafuu wa maisha pia! "Wengi wanafuata mali kwako na si dudu, kama dudu wanazo za kutosha hata kabla yako"Mwanamke gani wa kibongo atakubali kusaini akose Mali?, Wengi wanafuata Mali kwako si dudu maana kama ni dudu mbona wanakua wanazo nyingi tu b4 ww
Ikichafukwa wapi hamna jeuri hiyo[emoji38][emoji38]Pamoja na yote hayo DeepPond kuchepuka haachi ng'o[emoji23][emoji23]
Wanatuchukuliaga poa sana ila wangejua mioyo yetu ikichafukwa ni zaidi ya shetani mwenye mapembe
Ilikuwa mbaya sana, alifanya mama yake aishi kww masimango sana kutoka kwa mawifi na mama mkwe wakeHiyo kumtimua pekee haikutosha.
Kwani vilio huvisikii kutoka kiumeni,Ikichafukwa wapi hamna jeuri hiyo[emoji38][emoji38]
Haikutosha kumtimua pekee. Kwa akili zangu ningelichinja kimya kimya hilo libinti.Ilikuwa mbaya sana, alifanya mama yake aishi kww masimango sana kutoka kwa mawifi na mama mkwe wake
Kwahiyo marehemu hajazikwa? Huyo alitaka aiuze nyumba maana si unajua huwezi uza nyumba na kaburi.
Huyo wakudili naee fwakenii kabisaa...Janet alimfix masawe mwez August..Hali ikaanza kuzorota mwili ukaanza kupata shida...kwikwi na kiungulia ndo ugonjwa uliomtoa dunian...dalili zote za mwamke kuwa nyuma ya kifo chake ziko dhahili..dada kamuua Mume wake....lkn nae antavuna alichopanda mda si mrefu
Umeona mbali sana,kwenye mazingira kama hayo mtu akipata nguvu na nafasi anaweza kufanya lolote maana kwa muda huo roho inageuka anakuwa mnyama kutokana na mateso aliyopitia.Kila mtu kwa wakat flan kwenye dunia hii huwa ana roho mbaya. Sasa unajua kilichotokea? Yule mwanaume baada ya kuoa anataka kufukuza wanae aliozaa na marehemu mke wa kwanza ambaye yule marehem mali zote yeye ndo alichuma.
Hii dunia haina formula ndo maana watu wanawindana
Mimi naona mahakimu waliohukumu hiyo kesi wako sahihi.Yaani kwa Tz hizi tafsiri za sheria hazina mantiki kabisa, na ina shangaza jinsi jamii inavyoshadadia kudhalilishwa kwa mke wa mhusika!
Mazingira ya Ulaya na huku ni tofauti mkuu,wakisema wakopi sheria zote jinsi zinavyotumika Ulaya huku hazitafanya kazi.Sheria za au maamuzi ya mahakama za Tz huwa zinaniacha hoi!
Wenzetu walioendelea, wanamheshimu Sana mume au mke wa mtu, kuliko hata wazazi na ndugu zake.
Hapa kwetu ni kinyume kabisa! Huyu mke anadharauliwa, na hapo mume kazikwa bila ya mkewe kuwepo, mke wa Mengi naye anadharauliwa, wosia wa marehemu unadharauliwa, ni nini maana ya sheria kwa Tz?!!
Kamuua huyoMarehemu alishaacha wosia azikwe Bagamoyo. Mke ndo amegoma kwa sababu za kibiashara. Mahakama imetoa amri mke ametoroka hajazika mumewe. Na hapo awali mke alishafumaniwa na picha zake zilichafua hali ya hewa kwa mange