Bagamoyo Road kuna nini leo, mbona foleni kubwa sana?

Bagamoyo Road kuna nini leo, mbona foleni kubwa sana?

Kasie

Platinum Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
22,379
Reaction score
41,294
Daah, nimevumilia uzalendo unaelekea kunishinda.

Tangu saa moja jioni niko Tangi Bovu, magari hayaendi, watu wanatanua na magari yao 😠😠

Kidogo wamegongana halafu wanawasha hazards kuanza marumbano namna ya kutengenezeana magari na nani mwenye makosa.😠😠
Wanazidi kuongeza foleni barabarani, yaani.

Hadi mida hii hata Africana sijafika. Halafu matrafiki hawaonekani barabarani.

Mlioko mbele Bagamoyo road kuna nini huko, nimechokaa nna usingizi kama teja.

Uzi tayari.

Matata the K.
 
Bora umetoa taatifa, foleni ikiisha nishtue, pole sana Kasie

Yaani kupaki pembeni kusubiri foleni iishe sitaki maana nimechokaa....

Wakati huo huo nakuwa na tension barabarani maana watu wanachomekeana na kuleta vurugu tuu.

Usijali mwaya ikifunguka foleni ntakwambia.
 
Tukiwaambia mje kitunda na kivule huku mnasema kwa washamba... huku foleni ni ndoto.. maana tukivuka fly over tu ya tazara tumeshafika home

Kwahiyo tubebe mabanda yetu tuje tujaweke juu ya nyumba zenu huko Kitunda ili na sisi tupite kwenye flaiova...!??
 
Yaani kupaki pembeni kusubiri foleni iishe sitaki maana nimechokaa....

Wakati huo huo nakuwa na tension barabarani maana watu wanachomekeana na kuleta vurugu tuu.

Usijali mwaya ikifunguka foleni ntakwambia.
Vipi kutoka mbezi kuelekea mwenge nako magari hayaendi?
 
Kuna lori limeharibika boko kwenye daraja so kupishana hapo darajani ni shida

Daaah sasa hapo si ntafika saa 10 alfajiri walaah...!!!😨😨

Ndo naitafuta Africana looh...

Nshakula mahindi na machungwa hadi nimekifu.
 
Kwa nini na wewe usitanuwe na gari lako?

Siwezi bora mchana, usiku magari mengi mabovu. Naweza nikapiga mayowe, hii foleni ni kero tosha... kutanua ni adhabu na mateso jui.
 
Kweli mmeshindwa kulitowa roli darajani hadi mnakaa foreni kama vile mnasubiri chanjo ya Astrozeneca

Tufanyie wepesi basi ulitoe lori nasie tukalale.
 
Barabara ya Makongo Goba na Goba Madale Tegeta pengine zitakuja kupunguza foleni Mwenge Tegeta.

Yaani ....

Wazirekebishe hizo barabara kero ipungue...

Hapo njiani kuna magari kibao yamezima sababu mafuta yamekata kwa kukaa kwenye foleni muda mrefu khaa...!

Tabuu tuupuu.
 
Vipi kutoka mbezi kuelekea mwenge nako magari hayaendi?

Yeah nayo pia hayaendi maana watu wanatanua service road, wakikuta mkwamo wanarudi kwenye lane yao hapo ndo foleni hutokea upande wa pili.

Yaani kotekote vurugu.
 
Back
Top Bottom