Mkuu, kwani na wewe ni shabiki wa Yanga?Wewe eneo lako unasema mwenyewe au inakusemea serikali na je serikali haimiliki ardhi? Sasa kwa nini SMZ isiseme kama eneo fulani wanalimiliki wao na hatimiki wanayo!
Serikali ni kama mtu ndio maana inaweza kushtakiwa ama kushtaki kama mtu binafsi.Mkuu, kwani na wewe ni shabiki wa Yanga?
Mamlaka sio MTU binafsi! SMZ haina hiyo jurisdiction! Kwanini wasingepitia proper channels kama serikali?
Bakhresa, yeye ndo atangaze kisha kama kuna mgogoro, JMT inaamua kupitia vyombo vyake! Sasa kweli SMZ iwe kama Bakhresa?
Mwisho, nimekuuliza, sheria inasemaje kuhusu kuiacha ardhi kwa zaidi ya miaka 10 bila kuiendeleza?
Unajiaminisha utafikiri unaishi mbinguni, hujui yanayoendelea Tanganyika sio?Shamba hilo bado linamilikiwa na SMZ kupitia wizara yao ya kilimo hii maana yake hawavunja masharti yoyote ya umiliki.
Unataka waje kukugongea kwako kukwambia kwamba wameanza kuchukua hatua.Unajiaminisha utafikiri unaishi mbinguni, hujui yanayoendelea Tanganyika sio?
Eti haijavunja masharti! Unaifahami ripoti ya CAG? Hatua hazijachukuliwa, je, inamaanisha hakuna uwalakini?
Kama ndivyo upangaji wa hoja umevurundaNikweli ila ili uelewe inabid ubongo wako uwe unajua vitu vingi pia uwezo wa kuchakata mambo pia unahitajika.
Hapo Kuna inshu Zaid ya moja.
1. Utapeli wa wazungu
2. Uhalali wa Ardhi ya Tanganyika kuwa mali ya kisiwa cha Zanzibar
3. Mtu aliepewa eneo bure na kulitumia kukopea pesa na akiwekewa dhamana na serikali iliompa Ardhi anaidai hyo serikali fidia.
4. Na nyinginezo
Kama lodilofa mzeeKama ndivyo upangaji wa hoja umevurunda
Umecharaza hovyo!!
Mkuu umeandika fact ila na mm nafikir huyu wa sasa ndio anataka kuwakabidhi nduguze ...Haina ubishi lile eneo ambalo Zanzibar wanadai nilao lilisharudishwa mikononi mwa Tanganyika sababu Rais wa nchi ndiye mwenye mamlaka ya ardhi ya Tanzania labda huyu waleo ajichanganye tena awape hilo eneo na zaid kwa Mara nyingine.
Bagamoyo sugar project ilkua n biashara ya kijanja mbele ya watu wajinga haingii akilini serikali ya Sweden na wafanyabiashara wakufua umeme na Nishati mbadala baada ya kuona eneo lipo free Tanzania serikali ya Sweden ikaja TANZANIA kuomba eneo la shughuli la kilimo Cha miwa kwa maana ya uzalishaji Nishati na eneo lenyewe n bagamoyo serikali ya wakati huo chini ya Jakaya kikwete ikaanza mchakato wa kumpatia huyo mwekezaji shamba mpaka muda ulivyofika basi wakapewa hyo Ardhi na rasmi waanze shughuli zao za uwekezaji.
Ajabu n kwamba hao jamaa baada yakupewa eneo lenye 28k Hector's magharibi ya eneo lililopewa watu wa Zanzibar Sasa hao waswidn baada ya kupewa eneo wakatumia documents za eneo la bagamoyo na kwenda kuombea mkopo bank ya African Development Bank sasa hyo pesa waliyokuwa wanataka kulima miwa na kufungua viwanda kumbe walikuwa hawana.
Muda ukaenda mpaka mwaka 2017 Rais wa wakati huo Chuma John Pombe Magufuli baada ya kuwapa nafasi nyingi ili mradi ule uendelee wale jamaa wakajitoa kwenye maslai ya kuendeleza Ile project huku wakilalamika yakuwa wanapitia changamoto nyingi sana hasa vikwazo vingi ikiwa n Mawaziri wa serikali ya Tanzania Zaid ya 16 na taasisi kibao yakuwa wanawawekea vikwazo vingi hvyo wakaamua kuachana na mradi huo ndipo John Pombe Magufuli mwaka 2017 akampa Hilo eneo mwekezaji mwingine ambaye n bakrhesa "mtanisahihisha Kama nimekosea".
Ajabu eti naskia wale jamaa toka Sweden wanawashtaki watanzania ya kuwanyima hakiyao ya kuendeleza kilimo cha miwa kule bagamoyo na kutishia kuikamata ndege za TANZANIA huko watakapokutana nazo huko ughaibuni.
Swala la Ardhi ya Tanganyika kumilikiwa na wazanzibar lilishamalizwa siku nyingi sana Sasa n Mali ya Tanganyika.
Ujumbe umfikie huyo mzanzibar anayetoa pesa bara kupeleka visiwanMkuu umeandika fact ila na mm nafikir huyu wa sasa ndio anataka kuwakabidhi nduguze ...
Haiwezekan, maana ukisoma machapisho ya project yanaonyesha ilo eneo lilirejeshwa kwa wawenye miaka ya 1990's iweje leo wajitokeze wadai ni mali yao ?