CHE GUEVARA-II
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 571
- 156
Wadau, habari zenu?
Naomba mnijulishe.
Bagamoyo (Kiwangwa) ni mazao gani ya biashara yanastawi ili kuuza kwa wafanyabiashara wakubwa kama kina Bakhresa au hata kimataifa au hata mazao yanayoweza kumwezesha mtu kuvuta mkopo wa maana bank?
Mfano: maembe, mananasi, michungwa n.k
Au hata miti ya mbao (tectona grandis = teak trees = mitiki) au nasikia kuna miti fulani ambayo products zake zinatumika kutengenezea vyombo vya majini - sijui inaitwaje! Naomba mwongozo wenu.
Kuna mdau anataka aendeleze ekari zake 50 huko Kiwangwa.
Naomba mnijulishe.
Bagamoyo (Kiwangwa) ni mazao gani ya biashara yanastawi ili kuuza kwa wafanyabiashara wakubwa kama kina Bakhresa au hata kimataifa au hata mazao yanayoweza kumwezesha mtu kuvuta mkopo wa maana bank?
Mfano: maembe, mananasi, michungwa n.k
Au hata miti ya mbao (tectona grandis = teak trees = mitiki) au nasikia kuna miti fulani ambayo products zake zinatumika kutengenezea vyombo vya majini - sijui inaitwaje! Naomba mwongozo wenu.
Kuna mdau anataka aendeleze ekari zake 50 huko Kiwangwa.