Baghdad kweka kubadilika kuwa mwembamba

kwenye amsha amsha wenzake wanakunywa bia yeye anakunywa crate 1 na nusu la soda.
ila alicontrol ikaisha kabisa

Hadi mother wake alikuwa anamkataza alikuwa kwa siku anakunywa soda 6 kwenye function anakunywa soda 20.
 
huyu hapa...ila now anatangaza E.FM
 

Attachments

  • 1410200993747.jpg
    71.9 KB · Views: 458

Ni kitu gani kilchokufanya mpaka ukatafuta dawa za kupungua? Ni Diabetes? Obesity? Kibamia coz ya ubonge? Poor performance on bed due to ubonge?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…