Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
- Thread starter
- #61
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaa ndani kwani we utumbo? Pika vingi toka ukaviuze mtoto wa kiume kukaa sana ndani ni hatari, utaota hips na hivyo unavyolipenda jiko shauri yako.No sipendi kupika kila siku kitu cha aina moja pia mda mwingi nakuwa free mazingira hayanip nafasi ya kutembea sina wadau so mda mwingi nakua ndani alone
Sema mzee mwanzoni hii ID ilikuwa na avatar ya kike hata mimi nilikuwaga najua ni jinsia KE mpaka hapa juzi tu.Mkuu nakumbuka mara ya mwisho ulisema ngoja uniignore nikaona umefanya busara lakini ukufanya ivyo naona matusi kama haya sio vyema kutukana kwa mtu usie mjua kama uwezi basi jitahidi ata kidogo kuchunga kinywa kisitoe matusi
Ahahha mkuu kutoka hapa mpaka mjinu ambapo watu wapo ni KM 23 mixer wanyama wakali wakat wa kurudi saa kumi na mbili tu hao washazagaa njianiUnakaa ndani kwani we utumbo? Pika vingi toka ukaviuze mtoto wa kiume kukaa sana ndani ni hatari, utaota hips na hivyo unavyolipenda jiko shauri yako.
Ndio maana niliamua kutoaSema mzee mwanzoni hii ID ilikuwa na avatar ya kike hata mimi nilikuwaga najua ni jinsia KE mpaka hapa juzi tu.
Wapi huko ulipo alaf mtandao upo available kiasi cha kuwa available mda mwingi?Ahahha mkuu kutoka hapa mpaka mjinu ambapo watu wapo ni KM 23 mixer wanyama wakali wakat wa kurudi saa kumi na mbili tu hao washazagaa njiani
Mtandao upo vzr ni tigo tuWapi huko ulipo alaf mtandao upo available kiasi cha kuwa available mda mwingi?
YasMtandao upo vzr ni tigo tu
Ndio yas 😂
Mkuu nakumbuka mara ya mwisho ulisema ngoja uniignore nikaona umefanya busara lakini ukufanya ivyo naona matusi kama haya sio vyema kutukana kwa mtu usie mjua kama uwezi basi jitahidi ata kidogo kuchunga kinywa kisitoe matusi
😂😂 naoa soonHivi ndugu yetu catress ni kataa ndoa e?
Mapishi yake sio poa
Haa MkuuNilikua sijui mkuu....
Jamaa ni Me kumbe, na nimemuomba msamaha.
Dahhh... ila mshkaji anajua sana, ngoja nami kesho nijaribu hii...😊
🤣🤣Hayo ni mayai au mbupu?
Katibu mwenezi wa kataa ndoa huyuHivi ndugu yetu catress ni kataa ndoa e?
Mapishi yake sio poa
Niligusa vitu vyetu kidogo 😂
Nataka nije nioe mwanamke anaepika iviephen_ aliomba nimuonyeshe jinsi ya bagia za dengu zinavyo pikwaa
Nilikuwa na shughuli za hapa napale uku naangalia mpira wa yanga tukashinda uku nanyoosha
Nikawa nawaza chakula jion nikaona bagia kivile ni nyepesi kupika basi nipike
Nikaandaa karoti na hoho
View attachment 3239436
Kisha nikachukua unga wa bagia nikaweks kwenye chombo
View attachment 3239441
Baada ya hapo nukaweka karoti na hoho na kuchanga vizuri
View attachment 3239445
Kisha weka maji kidogo kidogo uji wako hakikisha uji wako haui mzito sana wala mwepesi sana kama hivi
View attachment 3239449
Kisha weka kwenye mafuta tia kidogo kidogo mimi nilitumia kijiko wengine wanatumia mkono kuweka kwenye mafuta moto weka mdogo kabisa ziive pole pole
View attachment 3239453
Baada ya hapo nikachemsha maziwa na mayai sehemu mbilintofauti now nakula karibu
View attachment 3239455
Ulie omba mkate wa mchele kesho nitakupikia muda kesho ninao wakutosha kabisa ila Mama Mwana mkate wako unao utaka ule mgumu kidogo na ugumu unakuja pale jinsi ya kuuoka pia hakuna walaji hapa kwangu
Hata gf asiejua kupika nilikuaga nae, huwa hawajiamini hao watu kwa kutojua kwao kupika.Sijaoa ila chuo nilishawai kuwa na girlfriend ambaye hajui kupika nilikuwa sishibia nakula kumlidhisha tu ikawa akisema anakuja. Anakuta nishapika kazi yek inakuw kuosha vyombo na usafi basi