Bagia za dengu maziwa na mayai

Mkuu nakumbuka mara ya mwisho ulisema ngoja uniignore nikaona umefanya busara lakini ukufanya ivyo naona matusi kama haya sio vyema kutukana kwa mtu usie mjua kama uwezi basi jitahidi ata kidogo kuchunga kinywa kisitoe matusi
Sema mzee mwanzoni hii ID ilikuwa na avatar ya kike hata mimi nilikuwaga najua ni jinsia KE mpaka hapa juzi tu.
 
Mkuu nakumbuka mara ya mwisho ulisema ngoja uniignore nikaona umefanya busara lakini ukufanya ivyo naona matusi kama haya sio vyema kutukana kwa mtu usie mjua kama uwezi basi jitahidi ata kidogo kuchunga kinywa kisitoe matusi

Mkuu,una busara sana
 
Nataka nije nioe mwanamke anaepika ivi
 
Sijaoa ila chuo nilishawai kuwa na girlfriend ambaye hajui kupika nilikuwa sishibia nakula kumlidhisha tu ikawa akisema anakuja. Anakuta nishapika kazi yek inakuw kuosha vyombo na usafi basi
Hata gf asiejua kupika nilikuaga nae, huwa hawajiamini hao watu kwa kutojua kwao kupika.

Akakutana na nunda ambae mapishi naunga unga tu, ila tulikua tunakula ivoivo Mungu saidia siku ipite.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…