MAHITAJI
KUNDE nusu kg
pilipili kiasi
karoti 3 kubwa
hoho
kitunguu
hamira kidogo kama robo kijiko
unga wa ngano vijiko vitano
hiliki
kitunguu swaumu
1.Loweka kunde like lets say usiku thn kupika upike kesho yake
2.kata vitunguu,hoho,karoti kwenye umbo la cubes za mraba
3.twanga au blend kunde (unaweza kutoa maganda au ukasaga pamoja)
4.changanya viungo vyoooote kisha weka hamira na ngano mwishoni
5.tengeneza madonge madogo madogo kulingana na kiasi unachopenda
6.bandika mafuta yachemke kisha anza kukaanga
7.acha mpk ziwe kahawia
ANDAA!na juice poa,chai poa,maziwa mwake basi mradi raha
cc
Kaunga